MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Inakuaje Bus la namungo lina plate no. Za serikali View attachment 2505636View attachment 2505637View attachment 2505638
Kwa maana ya kwamba baada ya kumfunga singida mkaona tiyali ubingwa ni wenu? Iyo namungo ni tawi lenu kwaiyo usitegemee wataachwa bila kupewa stahiki yao halali pale kwa mkapaHili Buku langu la Kiingilio Kibanda Umiza ni bora tu nikanunue Maziwa ya Mtindi ya ASAS au TANGA FRESH ninywe niboreshe Afya yangu kwa Nsajigwa kuwa Namungo FC tunaoujua vyema Mpira wa Bongo hasa unavyochezwa Nje kwa 75% tayari Mechi imeshaisha na Gap la Alama Sita linaendelea.
Bus walipewa na halmashaurin bado ni mali ya halmashauri ila timu inamilikiwa na mgodi wa NamungoInakuaje Bus la namungo lina plate no. Za serikali View attachment 2505636View attachment 2505637View attachment 2505638
Mismanagement of our resources.Inakuaje Bus la namungo lina plate no. Za serikali View attachment 2505636View attachment 2505637View attachment 2505638
Ukiweza kunyamaza utaonekana Una akili kuliko wanaotafuta likes.Juma Mwambusi si alikuwa Ihefu na akaifunga Yanga hapo imekaaje wakati Yeye anaheshimika Yanga na amewahi kuwa kocha tena mwenye mapenzi makubwa na timu yake ?
Wewe Gendamysini punguza majungu bhana. Jana timu yako imeifunga SBS pasipo kununua mechi! Ila Yanga pekee ndiyo inayonunua.Hili Buku langu la Kiingilio Kibanda Umiza ni bora tu nikanunue Maziwa ya Mtindi ya ASAS au TANGA FRESH ninywe niboreshe Afya yangu kwa Nsajigwa kuwa Namungo FC tunaoujua vyema Mpira wa Bongo hasa unavyochezwa Nje kwa 75% tayari Mechi imeshaisha na Gap la Alama Sita linaendelea.
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Bus walipewa na halmashaurin bado ni mali ya halmashauri ila timu inamilikiwa na mgodi wa Namungo