GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ofisini Ghorofa refu Posta.Aliandika au kuyaongea wapi
Ni jitihada zako kutafuta na kujuaAliandika au kuyaongea wapi
Instagram yake.Aliandika au kuyaongea wapi
Nyie mlioweza kufanya jitihada za kujua tunaombeni mtupe audio, video ya mazungumzo ya Feisal Salum. Wekeni hapa jamvini lasivyo itakuwa kama maneno ya vijiweni tuNi jitihada zako kutafuta na kujua
Haya maneno umetunga"Naipambania sana Timu yenu kuliko hawa Wachezaji wa Kigeni Mizigo Mizigo ila kila nikiwaambia mniongezee Mshahara mnasema hata kupewa huu Unahodha wa Timu ni Heshima Kwangu, kwa Wazanzibari na kwamba nisijali mtanifikiria. Mnatudharau mno Wachezaji Wazawa naondoka kwenda kwa wanaojua Kujali Asanteni"
Nenda tu Azam Feitoto hauna baya.
Hahaha mamaeeeSource: Trust Me Bro.
Asante Kiongozi wangu tuko pamoja.Kumbe gentamicin umerud dear nimefurahi sana kukuona
Je, nime qualify kuwa Mtunzi bora au?Haya maneno umetunga