Nilitaka nimlaumu Feitoto kuhamia Azam FC ila kwa hiki alichowaambia matajiri wa Yanga SC yuko sahihi

Unaadika ujinga ukiwa huna sikio moja baada ya kukatwa na Cherehani ulipofumaniwa, ngoja wakate la pili hilo.
 
You are better than this.
Vinginevyo uniambie umeandika kiutani wa jadi zaidi.
 
Na yale mashuti yote kumbe alikuwa anakula milioni nne?... aisee yanga ni wauwaji...
FEI alipaswa kula mshahara sio chini ya 10m na zaidi ya hapo.

Mimi Yanga namuunga mkono katika hili

Ni wakati wa kuwathamin wachezaji wazawa.

Hata huko Simba wapeni mishahara minono.

Sio fair mtu anajitoa kweli kweli still unamlipa Hela mbuzi hivyo huoni thamani yake.

FEI nenda kasake maisha achana nao na hakikisha kiwango chako hakishuki maana wataoata la kuongea.
 
Unakaa kbs kuandika huu upuuzi kwa lengo gani,au unatafuta kiki kwa wala ngada wenzio?
 
Kumbe Alikuwa analamba nne tu.....!

Na boli Lote lile..!

Hapo Bado hajakatwa Kodi,bima n.k.
 
Sasa Yanga acheni Longo Longo,Muageni Kwa amani dogo aende akiwa Na amani..!

Mkitaka Kesi atawabwaga kama BM3 Wakili Msomi.
 
Unaaambiwa GSM kakubali yaishe,dogo kaulizwa unataka nini wamtimizie..wakati mwingine ni vizuri kuheshimu pottential yako.
 
Kwa hili naungana na wewe pamoja na Fei
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…