Nilitegemea baada ya Watanzania kupitia Ukame na Maji yakawa ni Mgawo sasa tungekuwa busy Kuvuna Maji tusijetaabika tena

Nilitegemea baada ya Watanzania kupitia Ukame na Maji yakawa ni Mgawo sasa tungekuwa busy Kuvuna Maji tusijetaabika tena

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Matokeo yake tumeshajisahau na kama Kawaida yetu tuko busy na Kumsifu Mtu kila Saa ( kwa kile ambacho mpaka sasa GENTAMYCINE sijaona alichofanya ), tuko busy Kutongozana na Kubanduana, tuko busy na Suala la Fei Toto, tuko busy na Mambo ya Mpira, tuko busy na Mabadiliko ya Mawaziri, Makatibu na Wakuu wa Wilaya na tuko busy na Kuzuia Watoto wadogo wasikae Bwenini.

Msijali tuendeleeni tu na huu Upuuzi wetu kwani huenda tumeshahakikishiwa na Malaika wa Mungu kuwa Ukame mkubwa unaowakumba Majirani zetu sasa Wakenya wala na kamwe hautokuja Tanzania kwakuwa Tanzania ni nchi pendwa.

Hovyo kabisa....!!!!!!
 
Sisi wabongo ni wepesi sana wakusahau na wazuri sana kustick na mambo ya kipuuzi yasiyo na faida kwetu.
 
Mkuu GENTAMYCINE wala usishangae kwa hili. Hapa Ulimwenguni, Tanzania inashika nafasi ya kwanza kati ya nchi ambazo zipo zipo tu hazina mpango wowote wa maisha. Yaani kwa ufupi nchi hii haina vision wala mission.
Nakubaliana nawe kwa hili kwa 100% Mkuu.
 
Sasa watu wavune maji waweke kwenye majaba au
Kinachowachanganya hao mawaziri ni majimbo yao. Habari ya chanhamoto za wananchi halimo kwao
Hata wangetengeneza malambo. Ukimgusa bwana maji atakuambia wali usiposhiba kwenye sahani hata kwenye sufuria hutotosheka
 
Sasa watu wavune maji waweke kwenye majaba au
Kinachowachanganya hao mawaziri ni majimbo yao. Habari ya chanhamoto za wananchi halimo kwao
Hata wangetengeneza malambo. Ukimgusa bwana maji atakuambia wali usiposhiba kwenye sahani hata kwenye sufuria hutotosheka
watawala wote hawa ni chipukiza ya mwalimu nyerere muedelezo wao ni uleule wa kuaribu nchi uaribifu na ubishi ulianzia hapa

mtawala wa kwanza kudharau ushauli wa wataalamu

na kujione yeye ndie mwenye uwezo wa kutambua majambo kuliko wengine

wataalamu walimshauli mtawala wakwanza wanchi hii yafatayo

akiyafanya watu wataishi masha bora

ujinga umasikini na maradhi lakini nyerere alipinga haya ndio madhara yake vichipukizi wake wanaendeleza mwendo huohuo

mfano pesa iliowekezwa kwenye umeme inge ingizwa kwenye kilimo cha umwagiliaji kila mkoa ungekuwa na mbwa 3 ya kuhifadhia maji ya mvua habari hii ya watu kulima na kuishia kuvuna mabua isinge kuwepo

tatizo watawala wote wanafuata mkumbo hule hule wa ujuaji wa kambarage
 
Back
Top Bottom