Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Badala yake ni nyuzi za kugogeana mademu huko afrika ya kati.
Kina Nyani Ngabu Mzee Mwanakijiji Yoda na Kiranga sijui mnaishi marekani ya wapi!!
Kakufanyaje?Kuwa mtanzania kunaniumiza sana
Kila laheri Kamala Harris...
Ila jamaa kuna namna hayuko sawaEquatorial Guinea imeprove one man army, Sargent BartazAR ni mkubwa kuliko baba lao The big USA, Trump na Kamara combined... Africa ni pamoto zaidi ya makaa ya mawe.
Angekuwa shoga anakatwa yeye bado mngesema hayupo Sawa, binadamu bhana.Ila jamaa kuna namna hayuko sawa
Sio kua sawa hvo ulivo maanishaAngekuwa shoga anakatwa yeye bado mngesema hayupo Sawa, binadamu bhana.
Ahayupo sawa kivip mkuu au waliogongwa ndo hawapo saws kwan kunakesi ilifunguliwa ya malalamiko kwa walio liwaaIla jamaa kuna namna hayuko sawa
Nadhani anamaanisha kisaikolojia. Kurekodi na Kutunza mavideo yote hayo hauwezi kuwa sawa kiakili.Ahayupo sawa kivip mkuu au waliogongwa ndo hawapo saws kwan kunakesi ilifunguliwa ya malalamiko kwa walio liwaa
Nimekuelewa kiongoziNadhani anamaanisha kisaikolojia. Kurekodi na Kutunza mavideo yote hayo hauwezi kuwa sawa kiakili.
Zile staili zake na mikao sio ya kawaidaAhayupo sawa kivip mkuu au waliogongwa ndo hawapo saws kwan kunakesi ilifunguliwa ya malalamiko kwa walio liwaa
HhaaaZile staili zake na mikao sio ya kawaida