Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna zaidi ya mil 2 haitokei kwenye slip huwa inaongezeka kila mweziNina imani na maza. Sijui kwanini ila imani ninayo. Hili la bodi hawezi liacha maana mh zile increment za mwaka sizielewi. Mfano mi sahivi inaonekana imebaki 1.3M ila najua kuna mil 1 haitokei kwenye slip. Ila tuwe na subira.
Una mpango gani toa idea.Nazani hij issue ifanyiwe advocacy ya kutosha na kampeni kabisaa. Ikipata attention huu mwiba utapunguzwa maumivu.
Maombi yangu hoja hii ipate vijana strategic ili wai push hii agenda
MkuuKwa bahati mbaya sana Mama Samia hajagusia kitu kuhusu hawa mumiani, hope next time atanena lolote, sababu amekiri kuwa ni mdau wa mitandao na malalamiko yetu kwa bodi yamejaa sana huku 'sosho midia'
Hajamaliza teuzi, na humo atatoa neno!!!!!Yashanganue sasa nini kero yako na hiyo bodi akipita humu alifanyie kazi!
Hotuba ya lini?Mkuu
Hotuba moja kabla ya hii ya jana aliongea mbona kuhusu HESLB
Siwezi kumbuka tarehe ila ni iliyo kabla ya hii ya juziHotuba ya lini?
Tuandae mabango ili mkurugenzi atumbuliwe. Tukimpa teja mmoja buku 2 kazi imeishaHESLB ni tatizo
Afute "retantion fee",watu wamalize madeni yao.Yashanganue sasa nini kero yako na hiyo bodi akipita humu alifanyie kazi!