Nilitegemea Salim Kikeke na Maulid Kitenge wangepata Fursa ya Kuongoza Mijadala Kwenye huu Mkutano wa Nishati lakini Sijawaona kabisa!

Nilitegemea Salim Kikeke na Maulid Kitenge wangepata Fursa ya Kuongoza Mijadala Kwenye huu Mkutano wa Nishati lakini Sijawaona kabisa!

Mwanzo nilikusifia kuwa mwaka mpya umeanza ukiwa na akili nzuri ila naona unarudi kwenye ujinga wako kwa kiwango cha SGR.

Hao wapuuzi hawana akili na level za kuendesha mijadala yenye akili kwenye mikutano ya namna hii.
 
Write your reply...huyo kikeke tamasha la simba day lilimshinda. Kwa hadi sasa kuna tatizo? Mbona watangazaji wa tbc hawajakosea popote pale
 
Watangazaji wa kibongo ni chawa wa ccm na wanaweza uchawa kwenye mikutano ya chimwaga
 
Sijajua kwanini Watangazaji wetu tena nguli kabisa hawajaonekana wakifanya Kitu chochote Kwenye Mkutano wa Kimataifa wa Nishati

Au hatuna Watangazaji nguli wa Kimataifa hapa kwetu?

Nimeshangaa Mno 🐼🐼🐼
Mkuu mbona una upeo mdogo.
Achilia mbali kuwa hao uliowataja ni ma MC wa Kitchen Parties, hawana hata Diplomatic exposure na experience.
Tofautisha presidential ettiquette na uMC wa mitaani.

Halafu tusiulizane mbona Diamondi hakutumbuiza!
 
Kuna wabobezi wa utangazaji (anchors) kuna wabobezi wa mahojiano (interviewers), kuna wamobezi wa kuendesha aina fulani ya shughuli (mc's) na kuna wabobezi wa mapokezi (hosts).

Kuna waliojaaliwa kuwa wazuri kwa zaidi ya moja jatika hayo.

Elewa kuwatofautisha.
 
Back
Top Bottom