Mhh hao watoto sio wako kweli babu DC?
Ni wazo zuri kumwambia kama ulivyoshauriwa na wote.Nitaonana nae badae, sijamwambia nataka kumwambia nini ila nimemwambia nina jambo muhimu la kuongea nae.
Nahisi bado hajaambiwa chochote.
Nitawapa feedback na nashukuru kwa ushauri wenu
Unaweza kutueleza kwa nini ungeanza mbele?
Nitaonana nae badae, sijamwambia nataka kumwambia nini ila nimemwambia nina jambo muhimu la kuongea nae.
Nahisi bado hajaambiwa chochote.
Nitawapa feedback na nashukuru kwa ushauri wenu
Mkuu nisingejisikia comfortable pale nitakapokuwa namwona waif anachekeana na Kaka (ndugu) ambaye najua wazi walikuwa na uhusiano kabla yangu. Pia nisingeweza kumwekea mipaka waif eti asiwasiliane na huyo mtu (siamini juu ya kumwekea sheria mwenza wangu). Kwa mantiki hiyo basi, njia mwafaka kwangu ingekuwa kuachana naye kwa amani tu kuliko ku-jeopardize maisha yangu kwa presha za bure.
Du kuna watu mna mioyo ya bati, yaani unaangalia harusi ya ex wako with interest?ningekuwa mm hapo nimekwisha nuna na kuchange mood siku nyingi.. Akabaki kuniuliza why are you so interested with this wedding, nikamwambia namfahamu huyu kijana; wala sikumpa details ya nini kumpa presha.
Je ingekuwa ni wewe ambaye uliwahi kuwa na uhusiano na binti ambaye kwa sasa ndo huyo GF wako ungemwacha kwa sababu hiyo? Na katika suala hiyo la DP, utamwacha kwani yeye ana kosa gani?
Wanaume navyowajua wana wivu mbaya sana. In most cases hawawezi kuvumilia wanaumia sana wakijua jamaa aliyekuwa nawe before them. Sasa na hivi ni ndugu maanake mtakuwa mnakutana mara kwa mara. If you could keep it a secret mi naona powa kwani si mliachana hata akijua siku za usoni utamwambia kuwa hukutaka kumpa presha. As long as uhusiano ulikwisha kati yenu, na jamaa hajawahi kukwambia umtajie majina ya uliyokuwa nao before him; bora unyamaze. My ex boyfriend nilimwambia jina la jamaa yangu kabla yake akanambia NK bora usingesema it hurts me so much to know that this guy had also enjoyed what I have. Ilimuuma kwa kuwa alikuwa anamjua na hakuwa ndugu yake. Mume wangu wala sijamwambia jina la jamaa yangu before him. Na kuna siku nilimuona kwenye TV anafunga ndoa (kaoa dada maarufu) nikauchuna. Akabaki kuniuliza why are you so interested with this wedding, nikamwambia namfahamu huyu kijana; wala sikumpa details ya nini kumpa presha.
Du kuna watu mna mioyo ya bati, yaani unaangalia harusi ya ex wako with interest?ningekuwa mm hapo nimekwisha nuna na kuchange mood siku nyingi.
Nyumba Kubwa issues zako ni tofauti na ya Da Pretty. Wewe kama usingemwambia, wala asingejua. Lakini Da Pretty kama hatamwambia, it is likely that that huyu ndugu atasema. He may not say now, but might say later. Hapo swali la boyfriend litakuwa why you did not tell me then? Tena kumwambia, Da Pretty atakuwa kwenye nafasi nzuri zaidi ya kujua if the her boyfriend really loves her. Kama kweli anampenda kwa dhati sidhani kama atampotezea. In deed anaweza kum trust Da Pretty hata zaidi.
Kama alivyosema Da Pretty: "Ni nafasi yake kuamua na ni bora achague kuliko ningemficha ajue baadae."
Kama urafiki ulikwisha; kwa nini akija kujua baadae awe mkali???. Na kama hajawahi kuuliza majina ya maboyfriend wa zamani kwa nini akija kujua baadae akasirike? Afu mimi najua wanaume si wambea, hamna atakaye mwambia. Unamwambia ili iweje. SI mlishahachana! Na nijuavyo mimi utashangaa anamwambia jamaa anakasirika na kumwambia why are you telling me? To make me jelous! Ok now tell me the names of all men that you have been sleeping with may be you have slept with more relatives. Tena ndio urafiki uko mwanzo nakwambia jamaa anaweza kumwacha si kwa kuwa ametembea na jamaa yake ila kwa kuwa amemwambia.
Maana hata mimi sioni nia ya kumwambia. Tena amesema undugu ni wa kubandika na gundi.
Nani alikwambia wanaume sio wambea? Acha kabisa. Inawezekana hata huyo ndugu asimwambie, lakini boyfriend aka kujua tuu. Wanaume ni wambea usiseme. Kuna mambo wanaume wanaambiana wao kwa wao, but you will never know.
huyo jamaa namshauri aachane na kicheche #******#Habari,
Hivi karibuni nimeingia kwenye uhusiano mpya na kijana ambaye ninahisi ananipenda kweli.
Tunakaribia mwezi wa pili katika uhusiano sasa, ni mvumilivu na hana haraka na mwili wangu.
Ni rafiki mzuri na amenitambulisha kwa rafiki na ndugu zake wengi maana karibu kila weekend nakutana na watu wapya.
Kilichotokea jana kanitambulisha ndugu yake ambaye nilimbana sana kujua undugu wao akaniambia bibi zao ni ndugu. Huyo kijana tunafahamiana vizuri japo tulijifanya hatujuani ni kua alikua shemeji yangu kipindi cha nyuma nimewahi kuwa na uhusiano na kaka wa huyo kijana niliyetambulishwa.
Wapendwa, nashukuru sana kwa ushauri wenu ambao kwangu nasema ni mzuri.
Nimependa mawazo yote....
Tumetoka na kijana tukapiga story zetu nyiiiingi wala hakuniharakisha niseme nilichomuitia!
Wapendwa!!
Nimejikanyaga wee lakini hatimaye nimesema,
nimetua mzigo na hapa nina mawazo!!
Ni kweli kaniuliza maswali mengi na magumu na kikubwa
kataka kujua uhusiano wangu na huyo kijana hadi sasa upoje.
Nimejieleza na nimempa sababu za kujieleza lakini cha msingi NIMEWEKA WAZI.
HAJANIBU LOLOTE KUHUSIANA NA HILO JAPO MASWALI NIMEULIZWA SANA NA NAHISI KAMA VILE ANA KINYONGO!
Kanirudisha nyumbani ila sijajua anawaza nini,
nampenda sikutaka kumkosa ila kwa hili sitajuta kwa sababu nisingeweza kufuta historia.
Ni nafasi yake kuamua na ni bora achague kuliko ningemficha ajue baadae.