Nilitembea na ndugu yake.....

huyo jamaa namshauri aachane na kicheche #******#

Kitu gani kinakufanya uone huyu dada ni kicheche? Una maana wewe mwenyewe, dada zako/kaka zako wameolewa/kuoa wapenzi wao wa kwanza? Na kama ni hapana, una maana kwamba watu wote walikutana na hali hiyo ni vicheche? Wewe utakuwa haumo kati ya hao?
 
Afadhali umeniunga mkono from men's view point, maana nilikuwa nikisema wanaume hawana chest ya kumezea wakijua uliyekuwa nae before watu wameona naongea kichina kwa kuwa mimi mwanamke. Sometimes we better keep secrets.

 
Afadhali umeniunga mkono from men's view point, maana nilikuwa nikisema wanaume hawana chest ya kumezea wakijua uliyekuwa nae before watu wameona naongea kichina kwa kuwa mimi mwanamke. Sometimes we better keep secrets.

Nyumba kubwa...hoja yako ni muhimu na ni kweli wanaume hawawezi kabisa kuhimili maumivu ya kujua watangulizi wao. Hata hivyo maisha yamebadilika na kuna watu wengi tu wanawajua na bado wanaweza kumudu kuishi na wake zao kwa "aman". Sina hakika kama kweli wana amani kwani hata mimi siwezi kuwa na amani.

Lakini suala la DP ni tofauti...uwezekani wa huyo BF wake kujua ni mkubwa kwa sababu tayari kuna mtu mwingine hapo katikati ambaye anafahamu wanaume wote wawili ambao wamekuwa na uhusiano na DP kwa nayakati tofauti. Bado naamini huyu dada hakuwa na jinsi zaidi ya kusema kila kitu na kuhamisha liability (kumbebesha mzigo) kwa BF wake wa sasa. Kama ataamua kuendelea naye basi atakuwa anajua kila kitu na pia naamini huyo ndugu itabidi akae mbali na hii couple!
 
Hongera kwa kusema ukweli, however inabidi uoneshe how special you are to the guy. Kwa sababu sisi wanaume tuna wivu. Kwa hiyo baada ya yeye kufahamu huo uhusiano wako uliopita inabidi umuoneshe kuwa wewe upo kwa ajili yake tu na hapatatokea lolote baya baadaye kwa sababu ya past events. Kwa sababu inaweza kutokea kutoelewana au kupishana kisha jamaa akalink je ungemfanyia hivyo huyo ndugu yake au una take advantage ya upole wake. Pia umesema hana haraka na mwili wako, labda wewe umeweka condition za kumforce asiwe na haraka na mwili wako hivyo kumlazimisha akutambulishe kwa nduguze ili isitokee akaku dump cheaply kwa sababu umeshawajua ndugu zake.

Je huyo ndugu yake ndiye aliyefungua mlango maanake kwa baadhi ya wanawake aliyefungua mlango hurusiwa kuingia bila kubisha hodi mara atakapo kuingia tena, hii inaweza kuwa a matter of concern kwa baadhi ya wanaume.
 
Nakwambia mdada ana maswali mengi kweli ya kujibu. Mojawapo hilo la kwenye bold. Ndio maana ni heri kujinyamazia. Akija kujua mna watoto atakuacha? Na by that time amekwisha kujua na hana wasi wasi na tabia yako. At this early stage kukuacha wala hafikirii mara mbili kwani bado hajakolea (miezi miwili tu). Tatizo naloliona si kuwa atamwacha kwa kuwa kajua; ila dada anaweza kuwa kwenye uhusiano ambao ni full wasi wasi mpaka mwenyewe anaweza amua kubwaga manyanga.

Well tuombee mema kwani ameshamwambia. Ila kwa atakayekutana na similar situation mawazo toka hapa jamvini yatamsaidia.

 

Ndo maana MMU ni familia moja na wanasaidia kwa mengi zaidi ya mawazo. Wapo watu wamekutana na matatizo makubwa zaidi ya hayo na wameweza kupata msaaa wa mawazo na ushauri nasaha kutoka hapa jamvini.

Pia huyu PD siyo wa kwanza kukutana na mambo mazito...Tutaendelea kupigana tafu tu kwani ni suala la zamu...leo kwake, kesho kwangu!!!
 
hata kama akikukubalia,kinyongo kitachukua muda kuondoka.itakubidi utumie msuli wa ziada kumfanya ajisikie amefanya uamuzi sahihi kuwa na wewe hata baada ya kusikia historia yako.Hatoweza kuwa comfortable kama usipo prove your value kwake.BE CAREFUL MDADA,pray hard.Hata wewe ungetaka hivi,usijiachie eti kisa labda kakukubali hivyo hivyo.PROVE TO HIM THAT YOU ARE WORTH IT!
 
Ulipaswa uwe na subira, haiwezekani mawasiliano yawakatishe. Imagine mpo ktk mahusiano then yule mpenz wako wa awali anakuja hapo inakuwaje?
 

.
Inawezekana wewe umetembea na watu wengi sana. Naye mpe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…