nyumba kubwa;]Kutakuwa na tatizo tu kama hao mashemeji wana more story to tell than past relationship. Kama wanajua mengi mabaya kuhusu mdada hapo ni issue. Lakini kama alikuwa ni mtulivu, na what happened ni relationship like any other broken relationships, sioni shida hata wakileta umbea baadae. Swali linakuja; kwa nini mdada ali break up na huyo ndugu? Je dada ametulia? Maana unawezakuwa na past relationship lakini jamaa uliye break nae bado akawa hana baya la kusema juu yako; na bado anaamini you are a good girl. Ila kama mliachana kisa alikufumania, hapo funga virago maana watasema tu kuwa kaka umeingia mkenge.
NK tatizo kwetu wanaume hatupendi kuamini kuwa yazamani yamepita na hayatajirudia tena kutokana na watu wengi tunaowaona wakijikumbushia na watu wao wa zamani. Mara kwa mara nyie wadada mnakataa kukiri hili jambo, kama mwanaume najuwa kw mtu mliechana na kwa amani bila tatizo alama huwa haifutiki. Kinachohitajika ni ustarabu tu wa kuheshimu ndoa uliyo nayo na mke unayempenda. Ustaarabu siyo kwa wote maana kuna wanaume wanang'ang'ania mpaka basi. Na jinsi mlivyoumbwa kwa huruma nyie wadada unashtukia tu ulishachojowa unahamaki hujuwi kilichotokea. Ukianza kufikilia hali kama hiyo, na unajuwa kuna uwezekano wa huyo ngugu yake huyo bwana kuwa anakuja kumtembelea lazima jamaa apate pressure. Haamini kama kutakuwa na usalama kama akitembelewa na ndugu yake. Mbaya zaidi, Pretty atakuwa shemeji yake na hivyo kutaniana kupo. Kwa hali hiyo hata kama jamaa akiwakuta wanaongea kitu cha kawaida tu ataanza kufikiria kuwa wanataka kukumbushia.
Kwakweli ni hari ngumu sana jamaa atakuwa nayo. Hata kama ni mimi najuwa ningejisikia vibaya. Chukulia mfano mumeo alikuwa na mahusiano na ndugu yako na ukaja kujuwa hata kama ni baadaye. Utakuwa na amani siku huyo ndugu akija kukutembelea? Mda wote utakuwa unamwangalia huyo dada na mumeo machoni pindi wanapokuwa wanaongea japokuwa ni mashemeji kwa mda huo. Ni vema usijuwe watu waliyopita kwa mwenzi wako maana inashusha confo unapoonana nao ukiwa na mwenzi wako.