Nilitembelea Uwanja wa Fisi, Buguruni, Rambo, Kimboka na kwingineko siku za hivi karibuni nimelia machozi

Nilitembelea Uwanja wa Fisi, Buguruni, Rambo, Kimboka na kwingineko siku za hivi karibuni nimelia machozi

Naweza kuanzisha NGO ila si kwa ajili ya makahaba
Makahaba nao ni binadamu kama wengine na si wanyama ndiyo maana uliona huruma mpaka ukalia. Wengine wanakuwa makahaba kutokana na mazingira waliyokulia na wanapenda sana kama wangepata mtu wa kuwatoa huko.
 
Iyo ni kazi kama zingine.

Mbona serikali iko kimya kama inge kuwa sio kaz wange yafunga ayo machimbo

Hayo machimbo yanajulikana kwa kila kiongoz from serikali ya mtaa adi serikali kuu then ww uanze kulia may be ulikuwa na stress zingine tu mzee baba.

Hayo machimbo acha watu wachakate, mm ngependa tu waweke ToZo serikali iongeze mapato kwa ajili ya kuendeleza miradi ya kimkakati.

Acha watu wa utilize resources effectively, kuzeeka ni stage moja wapo ya binamu.
 
Ila huwezi ukaweka makaa ya moto kwenye kifua na nguo zako zisiungue!! Hayo ni maneno ya hekima ya mfalme Sulemani. Sasa wewe unatuambia umeweka makaa ya moto kwenye kifua na nguo zako hazikuungua!!! Sema tu ukweli HUDUMA ULIPATA!! japo hukuwa unafuata huduma ila kanuni ya kuweka makaa ya moto kwenye kifua yakakupelekea kupata huduma (nguo kuungua). Uasherati unaushinda kwa kuukimbia na siyo kuufuatilia na kuutazama, tusidanganyane!!
Dah nimecheka aki. Kwamba uasherati tunaushinda kwa kuukimbia na sio kuufatilia na kuutizama. 😁😂
 
...ukweli unaouma na uenda usioujua ni kwamba, mwanamke hasa wa aina hiyo ukimpa ela bila kuichakata anakuona puya! na hafuraihi pesa yako!!!
 
Mtu mzima akilia hakika ujue kuna jambo. Majuzi nililia njia nzima mpaka kufikia kushindwa ku drive vizuri. Roho inaniuma mpaka muda huu ninaoandika hapa.

Dada zetu wamechoka, dada zetu wana hali mbaya. Ni mabinti wa miaka 15 mpaka 25 wengi wao, ila sura zinakataa, sura zimechoka, sura za kizee[emoji24][emoji24][emoji24]

Nilifikiria mengi. Wamekata tamaa ya maisha na je, miongoni mwao angekuwepo dada au ndugu yangu yeyote?

Nilikuwa naingia vyumbani(kwa Wahaya) as if nataka huduma, nauliza bei then namlipa mara mbili yake na kutoka nje. Nilifanya hivi kwa wale malaya walioonekana kuwa na umri mkubwa mno[emoji24] naumia sana.

Na hata kwa vibinti nilifanya vivyo hivyo, Kimboka nilitoa machozi, Lubumbashi, River Side, Kitambaa cheupe n.k japo kwa siku tofauti tofauti.

Naumia sana[emoji24][emoji24][emoji24] daaaah, kumbe kuna watu wanateseka hivi? Roho inaniuma mno.

Naomba nisiendelee tafadhali[emoji24].
wamechagua kuishi hivyo mbona kuna wadada umri huo kila siku nakutana nao kwenye vibarua wanapiga wanapata pesa yao hadi kazi zinakosa watu umalaya ni addiction kama pombe na madawa
 
Ni sehem gani yenye vibinti zaidi niongee na watu wa mradi wakawaokoe
 
Mtu mzima akilia hakika ujue kuna jambo. Majuzi nililia njia nzima mpaka kufikia kushindwa ku drive vizuri. Roho inaniuma mpaka muda huu ninaoandika hapa.

Dada zetu wamechoka, dada zetu wana hali mbaya. Ni mabinti wa miaka 15 mpaka 25 wengi wao, ila sura zinakataa, sura zimechoka, sura za kizee[emoji24][emoji24][emoji24]

Nilifikiria mengi. Wamekata tamaa ya maisha na je, miongoni mwao angekuwepo dada au ndugu yangu yeyote?

Nilikuwa naingia vyumbani(kwa Wahaya) as if nataka huduma, nauliza bei then namlipa mara mbili yake na kutoka nje. Nilifanya hivi kwa wale malaya walioonekana kuwa na umri mkubwa mno[emoji24] naumia sana.

Na hata kwa vibinti nilifanya vivyo hivyo, Kimboka nilitoa machozi, Lubumbashi, River Side, Kitambaa cheupe n.k japo kwa siku tofauti tofauti.

Naumia sana[emoji24][emoji24][emoji24] daaaah, kumbe kuna watu wanateseka hivi? Roho inaniuma mno.

Naomba nisiendelee tafadhali[emoji24].
Waonee huruma ila wao hawanaga huruma, trust me
 
Mtu mzima akilia hakika ujue kuna jambo. Majuzi nililia njia nzima mpaka kufikia kushindwa ku drive vizuri. Roho inaniuma mpaka muda huu ninaoandika hapa.

Dada zetu wamechoka, dada zetu wana hali mbaya. Ni mabinti wa miaka 15 mpaka 25 wengi wao, ila sura zinakataa, sura zimechoka, sura za kizee[emoji24][emoji24][emoji24]

Nilifikiria mengi. Wamekata tamaa ya maisha na je, miongoni mwao angekuwepo dada au ndugu yangu yeyote?

Nilikuwa naingia vyumbani(kwa Wahaya) as if nataka huduma, nauliza bei then namlipa mara mbili yake na kutoka nje. Nilifanya hivi kwa wale malaya walioonekana kuwa na umri mkubwa mno[emoji24] naumia sana.

Na hata kwa vibinti nilifanya vivyo hivyo, Kimboka nilitoa machozi, Lubumbashi, River Side, Kitambaa cheupe n.k japo kwa siku tofauti tofauti.

Naumia sana[emoji24][emoji24][emoji24] daaaah, kumbe kuna watu wanateseka hivi? Roho inaniuma mno.

Naomba nisiendelee tafadhali[emoji24].
Idiot
 
Back
Top Bottom