[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu hapo mwenzako kamaliza wewe tena unamshangaa! Eti tutafute hela siyo kazi yeye alithubutu na akaweza kwa kufanya nini hilo ndio alikuwa afafanue cyo kutoa jibu la swali bila njia ya namna umelipata hilo jibu je, Kama umekaririshwa jibu! Sisi utakuwa umetusaidiaje!