Nilithubutu nikaweza

Nilithubutu nikaweza

Inawekana ni party one, tusubiri party two. Ila ingekuwa vizuri angeeleza kinagaubaga watu tujifunze kupitia kwake
Uko sahihi mkuu Niko naandaa kwa ubora zaidi ili iwe na manufaa zaidi ya kuwasaidia watu wengi hasa vijana wenzangu,nimefrahi sana kuona wengi wana shauku ya kujua,
 
Uko sahihi mkuu Niko naandaa kwa ubora zaidi ili iwe na manufaa zaidi ya kuwasaidia watu wengi hasa vijana wenzangu,nimefrahi sana kuona wengi wana shauku ya kujua,

Tunasubri mkuu, maana kujifunza hapana mwisho
 
Ahsante sana mkuu nami ndio naanza kujiajiri umenitia moyo
 
We Jamaa itachukua muda sana kufanikiwa. Unaelimisha watu halafu unaficha ulikuwa unafanya biashara gani duh? Wewe ni sawa na madereva wa miaka ya 1980's waliokuwa wanafunika Gunia kwenye Gia
 
We Jamaa itachukua muda sana kufanikiwa. Unaelimisha watu halafu unaficha ulikuwa unafanya biashara gani duh? Wewe ni sawa na madereva wa miaka ya 1980's waliokuwa wanafunika Gunia kwenye Gia
Ww unaamini alichokiandika ni uhalisia huyu kaja kupumzika tu kwenye hill jukwaa
 
We Jamaa itachukua muda sana kufanikiwa. Unaelimisha watu halafu unaficha ulikuwa unafanya biashara gani duh? Wewe ni sawa na madereva wa miaka ya 1980's waliokuwa wanafunika Gunia kwenye Gia

Kwahiyo jamaa pia kafunika gunia kwenye njia ya mafanikio yake ili tusiione!!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unavoelezea kana kwamba unafanya Biashara haramu, una nini cha kuficha?
 
porojo na upuuzi kama mwingine tu. kama ni kweli ungesema iyo fursa watu wajipime maeneo walipo wafanye iyo biashara.

sio porojo tu et mtaani kuna fursa porojo tupu
 
Nimefungua faster, kumbe wimbo ule ule, tutakuwa inspired vipi usiposema unafanya biashara gani? Au hutaki tuuige? Kuhusu fursa kweli zipo ila practically ndo vema kujua kwa walio jaribu
 
Nimefungua faster, kumbe wimbo ule ule, tutakuwa inspired vipi usiposema unafanya biashara gani? Au hutaki tuuige? Kuhusu fursa kweli zipo ila practically ndo vema kujua kwa walio jaribu
Siku ntaleta yangu humu, tena ntaweka wazi ili wengine mjifunze
 
Sasa hio ngonjera au?!! Maana haieleweki kinazungumziwa nn!
Tuambie ulifanya nn?!! ulikoseaje??!! Na sasa unafanya nn na umefanikiwaje?!!
 
Back
Top Bottom