Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,095
- 3,649
Nimeugua staphylococcus aureus infection for 3 good years wameshamblia Lolo, korodan na kila sehemu!
Nashukuru mungu sasa nimepoa, tatizo si kubwa kama lilivokubwa. Watu watajiuliza miaka 3 kwanini ulikua hutibiwi!! issue nilikua natibiwa with multiple treatment failures.
ASIKWAMBIE MTU huyo mdudu usiombe aingie kwene via vya uzazi! au njia ya mkojo…
Swali ni Je naweza kua nishapata utasa? maana ndo mdudu anaesababisha utasa kwa sehemu mkubwa ( aquired)
Nawaza apa nianze kufanya majaribio
Nashukuru mungu sasa nimepoa, tatizo si kubwa kama lilivokubwa. Watu watajiuliza miaka 3 kwanini ulikua hutibiwi!! issue nilikua natibiwa with multiple treatment failures.
ASIKWAMBIE MTU huyo mdudu usiombe aingie kwene via vya uzazi! au njia ya mkojo…
Swali ni Je naweza kua nishapata utasa? maana ndo mdudu anaesababisha utasa kwa sehemu mkubwa ( aquired)
Nawaza apa nianze kufanya majaribio