Niliugua Staphylococci. Vipi naweza kua nishapata utasa?

Niliugua Staphylococci. Vipi naweza kua nishapata utasa?

Friedrich Nietzsche

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
2,095
Reaction score
3,649
Nimeugua staphylococcus aureus infection for 3 good years wameshamblia Lolo, korodan na kila sehemu!

Nashukuru mungu sasa nimepoa, tatizo si kubwa kama lilivokubwa. Watu watajiuliza miaka 3 kwanini ulikua hutibiwi!! issue nilikua natibiwa with multiple treatment failures.

ASIKWAMBIE MTU huyo mdudu usiombe aingie kwene via vya uzazi! au njia ya mkojo…

Swali ni Je naweza kua nishapata utasa? maana ndo mdudu anaesababisha utasa kwa sehemu mkubwa ( aquired)

Nawaza apa nianze kufanya majaribio
IMG_9607.jpg

IMG_9609.jpg
 
Mjegeje unasimama mzeee.
Kama unasimama na kupump fresh
Haina shida mtoto hata wa kuchitiwa(kuchapiwa) ni mtoto
Zingatia show

[emoji23][emoji23][emoji23]ila we jamaa
huko kote hakuna shida wasiwasi kama mashine ya uji imedhurika
 
Ikiwa ulipata uhakika kuwa ni Staphylococcus aurues basi kuna uwezekano pia ulipata uhakika ni dawa gani inafaa zaidi.
 
Back
Top Bottom