Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
Tatizo unaendekeza uganga na shule umetelekezaHuu ni ukichaa!!
Kwanza hilo jina la ugonjwa mbona ni kama jina la MZIMU WA KIHEHE?
Stryphoco-whaaat???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo unaendekeza uganga na shule umetelekezaHuu ni ukichaa!!
Kwanza hilo jina la ugonjwa mbona ni kama jina la MZIMU WA KIHEHE?
Stryphoco-whaaat???
Staphylococcus aureus ni aina ya bacteria wanaweza sababisha mgonjwa mengi ikiwemo UTI, food poisoning, sepsis, pneumonia etc so mkuu mdudu wako naona alikuwa na treatment failure kwa sababu ya watu wengi wanapenda kunywa dawa wenyewe mpka yakiwashinda ndo waende hospHuu ni ukichaa!!
Kwanza hilo jina la ugonjwa mbona ni kama jina la MZIMU WA KIHEHE?
Stryphoco-whaaat???
Amoxillin na Ceftriaxone zinauzwa shingapi?Staphylococcus aureus ni aina ya bacteria wanaweza sababisha mgonjwa mengi ikiwemo UTI, food poisoning, sepsis, pneumonia etc so mkuu mdudu wako naona alikuwa na treatment failure kwa sababu ya watu wengi napenda kunywa dawa wenyewe mpka yakiwashinda ndo waje hosp
Now days watu wanakula azuma na chai hii inafanya wadudu wawe sugu na dawa
Amoxicillin it was the best med kwa kifua na UTI now days Ceftriaxone wanachoma kma mchezo
Mbona hujapona sasa hayo ma stryphocotosis?Tatizo unaendekeza uganga na shule umetelekeza
Amoxicillin dozi ya buku 2 unakuwa umepona but ceftriaxone ni sindano na bei inategema na sehemu ya hudumaAmoxillin na Ceftriaxone zinauzwa shingapi?
kitahisi hivoAmoxicillin dozi ya buku 2 unakuwa umepona but ceftriaxone ni sindano na bei inategema na sehemu ya huduma