Nilivyo-date na jirani yangu bila kujua

Nilivyo-date na jirani yangu bila kujua

Nyie ni watu wazima hakuna ajabu hapo wasiwasi wako tu hebu kuwa na amani unadhani mpaka akugande una kipi ambacho hajawahi kukutana nacho kwenye idara ya mpenzi?? HANA TIME NA WEWE AMEFUATA PESA TU.
 
Miezi kazaa imepita, nilikuwa Dar es salaam kwa mishe mishe; mida ya saa nne usiku baada ya kupata chakula na kinywaji nikawa 'bored' na mazingira ya hotel, nikaona sitendei haki chumba kile kuwa peke yangu, ndipo nilipochukua 'laptop' yangu nakuingia mtandao fulani wa 'dating', na kuanza kuangalia 'sample' zilizopo dunia hii. Ndipo nikaanza ku-chat na 'sample' iliyonipendeza, na hatimaye tukafikia muafaka inabidi aje hotelini nilipofikia. Baada ya kufika, kweli alikuwa 'full romantic' tukashea abc na baadaye kutimiza kilichomleta. Baada ya kuongea kwa kina, nikagundua ni jirani yangu anamalizia kujenga nyumba yake; mbaya zaidi mpaka kwangu anapafahamu, ila hanifahamu mimi kutokana na kuwa mtu wa safari safari. Sasa najiuliza, kwa mazingira haya, nimeshatembea na jirani yangu; nifanyeje ili kuinusuru ndoa yangu.
Nifanyeje ili kuinusuru ndoa yangu...................
Wewe hujitambui na utakuwa ni under 30 asiyejitambua.Una utoto mwingi.
 
Miezi kazaa imepita, nilikuwa Dar es salaam kwa mishe mishe; mida ya saa nne usiku baada ya kupata chakula na kinywaji nikawa 'bored' na mazingira ya hotel, nikaona sitendei haki chumba kile kuwa peke yangu, ndipo nilipochukua 'laptop' yangu nakuingia mtandao fulani wa 'dating', na kuanza kuangalia 'sample' zilizopo dunia hii.

Ndipo nikaanza ku-chat na 'sample' iliyonipendeza, na hatimaye tukafikia muafaka inabidi aje hotelini nilipofikia. Baada ya kufika, kweli alikuwa 'full romantic' tukashea abc na baadaye kutimiza kilichomleta.

Baada ya kuongea kwa kina, nikagundua ni jirani yangu anamalizia kujenga nyumba yake; mbaya zaidi mpaka kwangu anapafahamu, ila hanifahamu mimi kutokana na kuwa mtu wa safari safari.

Sasa najiuliza, kwa mazingira haya, nimeshatembea na jirani yangu; nifanyeje ili kuinusuru ndoa yangu.
Imewahi kunitokea Mkoa mmoja nilinunua mzigo baadaye kwenye kuelezana Historia za maisha nikagundua ni Wa nyumbani kabisa na mbaya zaidi amesoma na Sista darasa moja.

Huyo Jirani anajitahidi kuendeleza ukaribu na Mteja wake ili siku nyingine mfanye tena biashara, wala hawezi kukuharibia Kwa mkeo maana atapoteza mteja. Kuwa na amani kabisa..
 
Sheria ya Umalaya ni kuwa hata mkikutana Ndugu kwenye umalaya wenu huwa siri inabaki baina yenu, huwezi kuisikia Kwa mwingine abadani.

Ikivuja basi umekutana na amateur kwenye hiyo sekta.
 
Imewahi kunitokea Mkoa mmoja nilinunua mzigo baadaye kwenye kuelezana Historia za maisha nikagundua ni Wa nyumbani kabisa na mbaya zaidi amesoma na Sista darasa moja.

Huyo Jirani anajitahidi kuendeleza ukaribu na Mteja wake ili siku nyingine mfanye tena biashara, wala hawezi kukuharibia Kwa mkeo maana atapoteza mteja. Kuwa na amani kabisa..
Kweli mkuu,alisema yote yanaishia pale pale
 
Miezi kazaa imepita, nilikuwa Dar es salaam kwa mishe mishe; mida ya saa nne usiku baada ya kupata chakula na kinywaji nikawa 'bored' na mazingira ya hotel, nikaona sitendei haki chumba kile kuwa peke yangu, ndipo nilipochukua 'laptop' yangu nakuingia mtandao fulani wa 'dating', na kuanza kuangalia 'sample' zilizopo dunia hii.

Ndipo nikaanza ku-chat na 'sample' iliyonipendeza, na hatimaye tukafikia muafaka inabidi aje hotelini nilipofikia. Baada ya kufika, kweli alikuwa 'full romantic' tukashea abc na baadaye kutimiza kilichomleta.

Baada ya kuongea kwa kina, nikagundua ni jirani yangu anamalizia kujenga nyumba yake; mbaya zaidi mpaka kwangu anapafahamu, ila hanifahamu mimi kutokana na kuwa mtu wa safari safari.

Sasa najiuliza, kwa mazingira haya, nimeshatembea na jirani yangu; nifanyeje ili kuinusuru ndoa yangu.
Unaweza kutufafanulia ndoa yako iko hatarini kiaje?
 
Back
Top Bottom