Dola Iddy Wa Chelsea
JF-Expert Member
- Sep 26, 2014
- 2,125
- 1,526
Nifanyeje ili kuinusuru ndoa yangu...................Miezi kazaa imepita, nilikuwa Dar es salaam kwa mishe mishe; mida ya saa nne usiku baada ya kupata chakula na kinywaji nikawa 'bored' na mazingira ya hotel, nikaona sitendei haki chumba kile kuwa peke yangu, ndipo nilipochukua 'laptop' yangu nakuingia mtandao fulani wa 'dating', na kuanza kuangalia 'sample' zilizopo dunia hii. Ndipo nikaanza ku-chat na 'sample' iliyonipendeza, na hatimaye tukafikia muafaka inabidi aje hotelini nilipofikia. Baada ya kufika, kweli alikuwa 'full romantic' tukashea abc na baadaye kutimiza kilichomleta. Baada ya kuongea kwa kina, nikagundua ni jirani yangu anamalizia kujenga nyumba yake; mbaya zaidi mpaka kwangu anapafahamu, ila hanifahamu mimi kutokana na kuwa mtu wa safari safari. Sasa najiuliza, kwa mazingira haya, nimeshatembea na jirani yangu; nifanyeje ili kuinusuru ndoa yangu.
ni ushamba wakoHapo vitapashwa viporo hadi mother house agundue[emoji2958] hivi hizo dating site ni za kununulia Mbususu ? Au huu ni ushamba wangu tu.
Hee samahanini ndugu wakongo😂Yan unauliza vicks kwa wakongo ?
Ungekuwa unajua yanayofanyika pale partner wako anakuambia yuko semina, usinge-comment hivi mkuuUmalaya tu! Shenzi kabsa
Imewahi kunitokea Mkoa mmoja nilinunua mzigo baadaye kwenye kuelezana Historia za maisha nikagundua ni Wa nyumbani kabisa na mbaya zaidi amesoma na Sista darasa moja.Miezi kazaa imepita, nilikuwa Dar es salaam kwa mishe mishe; mida ya saa nne usiku baada ya kupata chakula na kinywaji nikawa 'bored' na mazingira ya hotel, nikaona sitendei haki chumba kile kuwa peke yangu, ndipo nilipochukua 'laptop' yangu nakuingia mtandao fulani wa 'dating', na kuanza kuangalia 'sample' zilizopo dunia hii.
Ndipo nikaanza ku-chat na 'sample' iliyonipendeza, na hatimaye tukafikia muafaka inabidi aje hotelini nilipofikia. Baada ya kufika, kweli alikuwa 'full romantic' tukashea abc na baadaye kutimiza kilichomleta.
Baada ya kuongea kwa kina, nikagundua ni jirani yangu anamalizia kujenga nyumba yake; mbaya zaidi mpaka kwangu anapafahamu, ila hanifahamu mimi kutokana na kuwa mtu wa safari safari.
Sasa najiuliza, kwa mazingira haya, nimeshatembea na jirani yangu; nifanyeje ili kuinusuru ndoa yangu.
Hapana mkuu,baada ya kugundua hilo nimejitahidi kuwa mbali kabisa
Kisha ujue ilikuwa biashara ya muda tu....Hapana mkuu,baada ya kugundua hilo nimejitahidi kuwa mbali kabisa
Kweli mkuu,alisema yote yanaishia pale paleImewahi kunitokea Mkoa mmoja nilinunua mzigo baadaye kwenye kuelezana Historia za maisha nikagundua ni Wa nyumbani kabisa na mbaya zaidi amesoma na Sista darasa moja.
Huyo Jirani anajitahidi kuendeleza ukaribu na Mteja wake ili siku nyingine mfanye tena biashara, wala hawezi kukuharibia Kwa mkeo maana atapoteza mteja. Kuwa na amani kabisa..
ha ha ha ni hatari sana mkuu muhimu jezi tu, yuko classic sana anakuja na usafiri wake kwa ajili ya kuja kukupa hudumaSwali la kujiuliza ni jee tupo wangapi
Jezi hainogiha ha ha ni hatari sana mkuu muhimu jezi tu, yuko classic sana anakuja na usafiri wake kwa ajili ya kuja kukupa huduma
Unaweza kutufafanulia ndoa yako iko hatarini kiaje?Miezi kazaa imepita, nilikuwa Dar es salaam kwa mishe mishe; mida ya saa nne usiku baada ya kupata chakula na kinywaji nikawa 'bored' na mazingira ya hotel, nikaona sitendei haki chumba kile kuwa peke yangu, ndipo nilipochukua 'laptop' yangu nakuingia mtandao fulani wa 'dating', na kuanza kuangalia 'sample' zilizopo dunia hii.
Ndipo nikaanza ku-chat na 'sample' iliyonipendeza, na hatimaye tukafikia muafaka inabidi aje hotelini nilipofikia. Baada ya kufika, kweli alikuwa 'full romantic' tukashea abc na baadaye kutimiza kilichomleta.
Baada ya kuongea kwa kina, nikagundua ni jirani yangu anamalizia kujenga nyumba yake; mbaya zaidi mpaka kwangu anapafahamu, ila hanifahamu mimi kutokana na kuwa mtu wa safari safari.
Sasa najiuliza, kwa mazingira haya, nimeshatembea na jirani yangu; nifanyeje ili kuinusuru ndoa yangu.