Nilivyo mpiga kibwengo/ndondocha mpaka kumvunja mguu

Nilivyo mpiga kibwengo/ndondocha mpaka kumvunja mguu

mr pipa

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2021
Posts
3,074
Reaction score
6,472
Ilikuwa majira ya saa sita usiku natoka zangu kuangalia mpira wa simba yanga naelekea kufuata usafiri ni juzi kati tu hapo basi nikiwa nimetembea kilometa kama 3 hivi nakuanza kuacha hako kakijiji nikiwa ndani ya kamsitu kama mita tano upande wa kushoto wa barabara ndan ya hiko kimsitu kina makaburi

Ghafla nakuta nywele zinasisimka taa nyekund ya kichwa ikawaka kuashilia kuna jambo si lakawaida sekunde 40 haijafika nakuta kitu mbele kilikotokea hakijulikani kimekaa uelekeo niendako nikajiambia nikimbie na kujijibu hapana mana kurud nilikotoka si suala dogo punde nasikia sauti mr pipa unaenda wapi? Kwa saut ya kike ya demu wangu wa zamani ambae tuliachana miaka kumi nyuma,, ile najiuliza nikajikuta namuuliza kwa kizungu what is your name?

Asee nilikula kofi moja nikasema kumbe upo seriouz, nikavunja lifimbo nakumbuka nilipiga yule kibwengo mpaka nikavunja mguu wake nakuta tu kinalia usiniue naishabikia team ya simba wanachama wataumia sana kusikia nimekufa nikamjibu kwakuwa mmefungwa enenda kwa aman
 
Ilikuwa majira ya saa sita usiku natoka zangu kuangalia mpira wa simba yanga naelekea kufuata usafiri ni juzi kati tu hapo basi nikiwa nimetembea kilometa kama 3 hivi nakuanza kuacha hako kakijiji nikiwa ndani ya kamsitu kama mita tano upande wa kushoto wa barabara ndan ya hiko kimsitu kina makaburi ghafla nakuta nywele zinasisimka taa nyekund ya kichwa ikawaka kuashilia kuna jambo si lakawaida sekunde 40 haijafika nakuta kitu mbele kilikotokea hakijulikani kimekaa uelekeo niendako nikajiambia nikimbie na kujijibu hapana mana kurud nilikotoka si suala dogo punde nasikia sauti mr pipa unaenda wapi? Kwa saut ya kike ya demu wangu wa zamani ambae tuliachana miaka kumi nyuma,, ile najiuliza nikajikuta namuuliza kwa kizungu what is your name? asee nilikula kofi moja nikasema kumbe upo seriouz, nikavunja lifimbo nakumbuka nilipiga yule kibwengo mpaka nikavunja mguu wake nakuta tu kinalia usiniue naishabikia team ya simba wanachama wataumia sana kusikia nimekufa
Chai hii 🍵
 
Ilikuwa majira ya saa sita usiku natoka zangu kuangalia mpira wa simba yanga naelekea kufuata usafiri ni juzi kati tu hapo basi nikiwa nimetembea kilometa kama 3 hivi nakuanza kuacha hako kakijiji nikiwa ndani ya kamsitu kama mita tano upande wa kushoto wa barabara ndan ya hiko kimsitu kina makaburi ghafla nakuta nywele zinasisimka taa nyekund ya kichwa ikawaka kuashilia kuna jambo si lakawaida sekunde 40 haijafika nakuta kitu mbele kilikotokea hakijulikani kimekaa uelekeo niendako nikajiambia nikimbie na kujijibu hapana mana kurud nilikotoka si suala dogo punde nasikia sauti mr pipa unaenda wapi? Kwa saut ya kike ya demu wangu wa zamani ambae tuliachana miaka kumi nyuma,, ile najiuliza nikajikuta namuuliza kwa kizungu what is your name?

Asee nilikula kofi moja nikasema kumbe upo seriouz, nikavunja lifimbo nakumbuka nilipiga yule kibwengo mpaka nikavunja mguu wake nakuta tu kinalia usiniue naishabikia team ya simba wanachama wataumia sana kusikia nimekufa
Sasa mpak unachuma fimbo anakuangalia tuu😂😂😂😂
 
Ilikuwa majira ya saa sita usiku natoka zangu kuangalia mpira wa simba yanga naelekea kufuata usafiri ni juzi kati tu hapo basi nikiwa nimetembea kilometa kama 3 hivi nakuanza kuacha hako kakijiji nikiwa ndani ya kamsitu kama mita tano upande wa kushoto wa barabara ndan ya hiko kimsitu kina makaburi

Ghafla nakuta nywele zinasisimka taa nyekund ya kichwa ikawaka kuashilia kuna jambo si lakawaida sekunde 40 haijafika nakuta kitu mbele kilikotokea hakijulikani kimekaa uelekeo niendako nikajiambia nikimbie na kujijibu hapana mana kurud nilikotoka si suala dogo punde nasikia sauti mr pipa unaenda wapi? Kwa saut ya kike ya demu wangu wa zamani ambae tuliachana miaka kumi nyuma,, ile najiuliza nikajikuta namuuliza kwa kizungu what is your name?

Asee nilikula kofi moja nikasema kumbe upo seriouz, nikavunja lifimbo nakumbuka nilipiga yule kibwengo mpaka nikavunja mguu wake nakuta tu kinalia usiniue naishabikia team ya simba wanachama wataumia sana kusikia nimekufa
Usharawitiwa na kibwengo
 
20240503_173623.jpg
 
Dah Asante mdogo wangu sijacheka kutwa nzima nipo tu ndani nahisi homa niko na simanzi maana sijaonja ulanzi siku nzima ,nikipiga simu niletewe naambiwa umeisha .
Hivyo weekend yangu inaisha vibaya japo wewe unanifurahisha na ukatuni wako
 
Nilivyoona ni Mr pipa nikajua hii ni Comedy mr pipa ligi zimerudi tunakusubiri kwenye uzi wetu ulee
 
Back
Top Bottom