Nilivyo mpiga kibwengo/ndondocha mpaka kumvunja mguu

Baada tu ya kuwatania makolo hapo mwisho wa story, mimi kama paroko wa jimbo hili nasema umesamehewa dhambi zako
 
Dah Asante mdogo wangu sijacheka kutwa nzima nipo tu ndani nahisi homa niko na simanzi maana sijaonja ulanzi siku nzima ,nikipiga simu niletewe naambiwa umeisha .
Hivyo weekend yangu inaisha vibaya japo wewe unanifurahisha na ukatuni wako
kamalizie na mechi ya Yanga
 
nikajikuta nakomenti kwa kizungu, This is tea
 
Illa mr pipa nimekumiss kule kwenye code mkuu. Yan kumepoa sanaa fanya hata ututembelee
mkuu nakuja kule ndio home nilikuwa nasubiri ligi naona limeanza nabii wa mikeka lazima nije kuwa toa waambie waandae mia mia nakuja na matren ya mwaka,, yule jamaa yetu mzee wa msimu huu lazima nile bilion 2 aka afisa ubashir asee mwamba alizingua sana akajua bilion ni kama kupanda s.g.r mwambie nakuja na kibwengo wa simba
 
Nabii mr pipa Kasema ngoja nipeleke salam kwa wakuu wajiandae kuvuna
 
Uzuri na yeye alikulamba kofi la maana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…