Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Kwa namna nilivyoangalia kikosi cha Yanga SC kinachoanza leo dhidi ya Azam FC kwenye michuano ya Mapinduzi Cup, Yamkini historia ya mabao mengi itaandika leo kwenye uwanja wa Aman, Zanzibar
Azam FC, hawafungi mabao mengi sana msimu huu, lakini hii fursa walitamani na sasa muda muafaka wa kuweza kuweka Kumbukumbu kwa ajili ya vizazi vijavyo huko mbeleni.
Hapa kwa kitakachojiri kwa Yanga kwenye dimba la Aman Stadium ni mauaji ya Sharubela yatakayofanyika ya kujitakia kwani Cecafa alisema anakabiliwa na michuano ya Kimataifa, je Mapinduzi.?
Kwangu sitaangalia huu mchezo ila mtanisimulia yatakayojiri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Azam FC, hawafungi mabao mengi sana msimu huu, lakini hii fursa walitamani na sasa muda muafaka wa kuweza kuweka Kumbukumbu kwa ajili ya vizazi vijavyo huko mbeleni.
Hapa kwa kitakachojiri kwa Yanga kwenye dimba la Aman Stadium ni mauaji ya Sharubela yatakayofanyika ya kujitakia kwani Cecafa alisema anakabiliwa na michuano ya Kimataifa, je Mapinduzi.?
Kwangu sitaangalia huu mchezo ila mtanisimulia yatakayojiri.
Sent using Jamii Forums mobile app