Mawembasa1979
JF-Expert Member
- Feb 26, 2015
- 2,540
- 3,333
Una akili sana mkuu!!!Azam leo amecheza na wachezaji wa yanga wa aina gani? Yanga ndio walioweza kunufaika kwa kujua aina ya mchezo na mbinu za Azam. Azam kwa bahati mbaya wamecheza na kikosi ambacho hakitacheza nacho kwenye mechi ya ligi kuu wakati wameweka full mziki.
Sent using Jamii Forums mobile app