Nilivyoangalia kikosi cha Yanga SC dhidi ya Azam FC, historia ya mabao mengi kuandikwa leo Mapinduzi Cup

Una akili sana mkuu!!!
 
Ndo maana nimesema nimesikitika wamekutana mapema.Hii Mapinduzi Cup imeharibu mipango ya Azam,maana nina uhakika wangekutana kwenye TPL kabla ya leo Yanga wangekalishwa tu (kama ambavyo imetokea leo).
 
Ndo maana nimesema nimesikitika wamekutana mapema.Hii Mapinduzi Cup imeharibu mipango ya Azam,maana nina uhakika wangekutana kwenye TPL kabla ya leo Yanga wangekalishwa tu (kama ambavyo imetokea leo).
Kipi kinachotoa uhakika wa yanga kufungwa na Azam laiti kama mechi zingekutanishwa kabla ya hii mapinduzi, ikiwa Yanga ina mwalimu tofauti na pia kuna wachezaji tofauti na wale waliokuwa msimu uliyopita na alkadhalika hata Azam wana mwalimu na wachezaji pia tofauti na wa msimu uliopita. Hivyo hata mbinu ya kimchezo umebadilika. Naomba sababu inayokufanya umpe azam ushindi wa moja kwa moja badala ya kutoa 50 kwa 50?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini tumeelewana vilivyo wadau kwamba hakuna timu Unbeaten sawa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu inaonekana ni jinsi gani kauli ya unbeaten kwa Yanga inavyokuuma. Hata liverpool alifungwa na Napoli pamoja na Psg kwenye champions league, lakini akaendelea kuwa unbeaten kwenye ligi kuu ya uingereza mpaka pale walifungwa juzi na man city.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…