Hilo ni jumba mkuu hongera sananimetumia jumla tofali 6200 kwenye nyumba
Kama mjengo wenyewe ndo huu ni sawa maana msingi wenyewe tuu ni nyumba nyinginehongera mkuu nakumbuka nilianza ujenzi na tofali 3000 za mkopo, alafu zikaishia msingi nilidata
View attachment 2072955
Unajuaje kama siyo yeye wa Twita?Anachangamsha genge ,kaiokota twitter huko
Hilo ni jumba mkuu hongera sana
Nadhani ni ghorofa kabisa maana hizo tofali nyingi sana ama ulikua unalaza tofali mwanzo mwisho
HahahahaNaumia ila najipa moyo
Pesa yote hii si bora tuu ungejenga nyumba ya vyumba 3?
Sasa huoni hio kubwa utaijenga kwa raha zaidi maana unakuwa hudaiwi na mtu! Mie ntajenga pia kwa mtindo huu huu! Itokee nimeotea 30M siwezi anza kujenga jumba kubwa tu ghafla ntajenga nyumba ya kuanzia life kisha nyengine ntaongeza baada ya kuacha kulipa kodi!Ndio shida ya kujenga nyumba ndogo,lazima tu badae utataka kujenga kubwa
Hivi ni vyumba vingapi?nimetumia jumla tofali 6200 kwenye nyumba
3Hivi ni vyumba vingapi?
nimetumia jumla tofali 6200 kwenye nyumba
Sio kauli nzuri mkuuMkuu hako kajumba ndo kakujenga since 2017? Inaonekana matumizi yako ni makubwa mno au mshahara wako ni mdogo mno!
Usikute ndo huyo huyo mtu mmoja na wa TwitterHii story kuna mtu alipost twitter juzi kama ilivyo [emoji23][emoji23][emoji23]
Kama ndio yeye itabidi akae kitaalam sana humu,miaka yake yote atakayekuwa humuUsikute ndo huyo huyo mtu mmoja na wa Twitter
Kwani hao waliokua twitter hawawezi kua humu?Anachangamsha genge ,kaiokota twitter huko
Kuna wenye mishahara minono na hawana hata room moja waliyojenga kwa pesa zao hivyo tumtie moyoMkuu hako kajumba ndo kakujenga since 2017? Inaonekana matumizi yako ni makubwa mno au mshahara wako ni mdogo mno!
Ndugu yangu,kwani bqdo hujaanza life??Sasa huoni hio kubwa utaijenga kwa raha zaidi maana unakuwa hudaiwi na mtu! Mie ntajenga pia kwa mtindo huu huu! Itokee nimeotea 30M siwezi anza kujenga jumba kubwa tu ghafla ntajenga nyumba ya kuanzia life kisha nyengine ntaongeza baada ya kuacha kulipa kodi!
Life nshaanza ila sijajenga, nikianza maisha ya ujenzi naanza na nyumba ndogo baadae ntakuja ifanya Boys Quater!Ndugu yangu,kwani bqdo hujaanza life??