Nilivyojikuta Kituo cha Polisi baada ya kumsajilia Mtu Line ya simu

Nilivyojikuta Kituo cha Polisi baada ya kumsajilia Mtu Line ya simu

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
378
Reaction score
766
Nakumbuka 2021 kuna mshkaji wangu aliniomba nimsainie line ya simu kwa NIDA yangu kwa sababu alikuwa hana kitambulisho cha Taifa. Basi mimi si nina muamini nikamsajilia kwa wale wakala wanaozungukaga mitaani, kipindi hicho niko Arusha yeye akaenda kufanya mishe zake Morogoro

Baada ya miezi kadhaa, nikapigiwa simu na polisi. Wananiambia nahitajika kuripoti kituo cha polisi. Nilipofika nikaanza kuhojiwa kwa kuhusu kesi ya uhalifu wa kimtandao na utapeli wa pesa kupitia simu.

Nimebaki tu natoa macho maana sielewi wanaongea nini. Baadae nikamuelezea afande kuwa mimi nilimsajilia mtu flani na hiyo namba mimi siitumii. Wakapiga ile namba kwenye simu yangu haipokelewi, na hakuna njia ya kuthibitisha kuwa nilimsajilia laini hiyo kwa uaminifu.

Ikabidi niingie gharama za kulipa watu waliodai kutapeliwa ilikuwa kama milioni 1 na laki 3 hivi ikanitoka. Nimetoka hapo nimeenda nyumbani kwa mhusika familia yake inasema hata wao hawampati.

Wakuu wewe ulikutana na kisa gani kwa kumsajilia mtu line ya simu?
 
Nakumbuka 2021 kuna mshkaji wangu aliniomba nimsainie line ya simu kwa NIDA yangu kwa sababu alikuwa hana kitambulisho cha Taifa. Basi mimi si nina muamini nikamsajilia kwa wale wakala wanaozungukaga mitaani, kipindi hicho niko Arusha yeye akaenda kufanya mishe zake Morogoro

Baada ya miezi kadhaa, nikapigiwa simu na polisi. Wananiambia nahitajika kuripoti kituo cha polisi. Nilipofika nikaanza kuhojiwa kwa kuhusu kesi ya uhalifu wa kimtandao na utapeli wa pesa kupitia simu.

Nimebaki tu natoa macho maana sielewi wanaongea nini. Baadae nikamuelezea afande kuwa mimi nilimsajilia mtu flani na hiyo namba mimi siitumii. Wakapiga ile namba kwenye simu yangu haipokelewi, na hakuna njia ya kuthibitisha kuwa nilimsajilia laini hiyo kwa uaminifu.

Ikabidi niingie gharama za kulipa watu waliodai kutapeliwa ilikuwa kama milioni 1 na laki 3 hivi ikanitoka. Nimetoka hapo nimeenda nyumbani kwa mhusika familia yake inasema hata wao hawampati.

Wakuu wewe ulikutana na kisa gani kwa kumsajilia mtu line ya simu?
Nafikiri hiki ni kisa Cha kutunga tu ili kuelimisha Watu
 
Nafikiri hiki ni kisa Cha kutunga tu ili kuelimisha Watu
Hata mimi nadhani hivyo japo Tanzania tulivyo na jamii iliyo careless jambo kama hili si ajabu sana kutokea. Siku moja (ni zamani kidogo wakati ATM ndiyo zinaingia) nilienda kutoa fedha. Wakati naondoka akaja mzee mmoja akanipa karatasi yenye PIN number yake na kadi, akaniambia naomba unitolee fedha. Nikwambie ninachoweza kufanya ni kukupeleka na kukuonyesha unavyotoa fedha. Tukaenda nikamwonyesha na pia nikamwonya asithubutu kufanya tena hivyo.
 
Hata mimi nadhani hivyo japo Tanzania tulivyo na jamii iliyo careless jambo kama hili si ajabu sana kutokea. Siku moja (ni zamani kidogo wakati ATM ndiyo zinaingia) nilienda kutoa fedha. Wakati naondoka akaja mzee mmoja akanipa karatasi yenye PIN number yake na kadi, akaniambia naomba unitolee fedha. Nikwambie ninachoweza kufanya ni kukupeleka na kukuonyesha unavyotoa fedha. Tukaenda nikamwonyesha na pia nikamwonya asithubutu kufanya tena hivyo.
Good! kind people are still alive.
 
Nakumbuka 2021 kuna mshkaji wangu aliniomba nimsainie line ya simu kwa NIDA yangu kwa sababu alikuwa hana kitambulisho cha Taifa. Basi mimi si nina muamini nikamsajilia kwa wale wakala wanaozungukaga mitaani, kipindi hicho niko Arusha yeye akaenda kufanya mishe zake Morogoro

Baada ya miezi kadhaa, nikapigiwa simu na polisi. Wananiambia nahitajika kuripoti kituo cha polisi. Nilipofika nikaanza kuhojiwa kwa kuhusu kesi ya uhalifu wa kimtandao na utapeli wa pesa kupitia simu.

Nimebaki tu natoa macho maana sielewi wanaongea nini. Baadae nikamuelezea afande kuwa mimi nilimsajilia mtu flani na hiyo namba mimi siitumii. Wakapiga ile namba kwenye simu yangu haipokelewi, na hakuna njia ya kuthibitisha kuwa nilimsajilia laini hiyo kwa uaminifu.

Ikabidi niingie gharama za kulipa watu waliodai kutapeliwa ilikuwa kama milioni 1 na laki 3 hivi ikanitoka. Nimetoka hapo nimeenda nyumbani kwa mhusika familia yake inasema hata wao hawampati.

Wakuu wewe ulikutana na kisa gani kwa kumsajilia mtu line ya simu?
Polisi mbona walikuacha kirahisi maana navyojua polisi wa tanzania hapo kwao ni fursa ya kukukamua kweli kweli
 
Hata mimi nadhani hivyo japo Tanzania tulivyo na jamii iliyo careless jambo kama hili si ajabu sana kutokea. Siku moja (ni zamani kidogo wakati ATM ndiyo zinaingia) nilienda kutoa fedha. Wakati naondoka akaja mzee mmoja akanipa karatasi yenye PIN number yake na kadi, akaniambia naomba unitolee fedha. Nikwambie ninachoweza kufanya ni kukupeleka na kukuonyesha unavyotoa fedha. Tukaenda nikamwonyesha na pia nikamwonya asithubutu kufanya tena hivyo.
Uzuri camera za sikuhizi zinakuumbua ukiiba kupitia ATM. Wanaweka zenye quality mno, labda uvae baibui.
 
Hata mimi nadhani hivyo japo Tanzania tulivyo na jamii iliyo careless jambo kama hili si ajabu sana kutokea. Siku moja (ni zamani kidogo wakati ATM ndiyo zinaingia) nilienda kutoa fedha. Wakati naondoka akaja mzee mmoja akanipa karatasi yenye PIN number yake na kadi, akaniambia naomba unitolee fedha. Nikwambie ninachoweza kufanya ni kukupeleka na kukuonyesha unavyotoa fedha. Tukaenda nikamwonyesha na pia nikamwonya asithubutu kufanya tena hivyo.

Kuna siku usiku napata huduma za kutoa pesa ATM, wakati natoka kuna bint akanifuata nimsaidie ila anasimama mbali sana na eneo anachofanya ananipa kadi na password kwenye karatasi.

Nikamwambia wewe ndiyo muhusika simama kwenye mashine, (namuelekeza camera ilipo) na akawa hataki, nikamwambia usinitanie! Nikasepa zangu
 
Nakumbuka 2021 kuna mshkaji wangu aliniomba nimsainie line ya simu kwa NIDA yangu kwa sababu alikuwa hana kitambulisho cha Taifa. Basi mimi si nina muamini nikamsajilia kwa wale wakala wanaozungukaga mitaani, kipindi hicho niko Arusha yeye akaenda kufanya mishe zake Morogoro

Baada ya miezi kadhaa, nikapigiwa simu na polisi. Wananiambia nahitajika kuripoti kituo cha polisi. Nilipofika nikaanza kuhojiwa kwa kuhusu kesi ya uhalifu wa kimtandao na utapeli wa pesa kupitia simu.

Nimebaki tu natoa macho maana sielewi wanaongea nini. Baadae nikamuelezea afande kuwa mimi nilimsajilia mtu flani na hiyo namba mimi siitumii. Wakapiga ile namba kwenye simu yangu haipokelewi, na hakuna njia ya kuthibitisha kuwa nilimsajilia laini hiyo kwa uaminifu.

Ikabidi niingie gharama za kulipa watu waliodai kutapeliwa ilikuwa kama milioni 1 na laki 3 hivi ikanitoka. Nimetoka hapo nimeenda nyumbani kwa mhusika familia yake inasema hata wao hawampati.

Wakuu wewe ulikutana na kisa gani kwa kumsajilia mtu line ya simu?
Aiseee
 
Ilimtokea jirn yangu baht yake ni mama mtu mzima awakumsumbua sana ila ni wale wasajili walimsajilisha line zaid ya mara moja
 
Nakumbuka 2021 kuna mshkaji wangu aliniomba nimsainie line ya simu kwa NIDA yangu kwa sababu alikuwa hana kitambulisho cha Taifa. Basi mimi si nina muamini nikamsajilia kwa wale wakala wanaozungukaga mitaani, kipindi hicho niko Arusha yeye akaenda kufanya mishe zake Morogoro

Baada ya miezi kadhaa, nikapigiwa simu na polisi. Wananiambia nahitajika kuripoti kituo cha polisi. Nilipofika nikaanza kuhojiwa kwa kuhusu kesi ya uhalifu wa kimtandao na utapeli wa pesa kupitia simu.

Nimebaki tu natoa macho maana sielewi wanaongea nini. Baadae nikamuelezea afande kuwa mimi nilimsajilia mtu flani na hiyo namba mimi siitumii. Wakapiga ile namba kwenye simu yangu haipokelewi, na hakuna njia ya kuthibitisha kuwa nilimsajilia laini hiyo kwa uaminifu.

Ikabidi niingie gharama za kulipa watu waliodai kutapeliwa ilikuwa kama milioni 1 na laki 3 hivi ikanitoka. Nimetoka hapo nimeenda nyumbani kwa mhusika familia yake inasema hata wao hawampati.

Wakuu wewe ulikutana na kisa gani kwa kumsajilia mtu line ya simu?
Ndo naanza kushtuka!!,nikamfutie shemeji yangu mpendwa au niache???
 
Back
Top Bottom