Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Watu wa Mbagala wanapafahamu vizuri maana kulikuwa na watu wengi sanaNakuomba huuu uzi ufutwe maaana umekaa kitangzo tangazo
Hakika dunia inaenda kasi sanaKwa hiyo ungekua na ten ungefukua mtaro
Masakuu 🤣Watu wa Mbagala wanapafahamu vizuri maana kulikuwa na watu wengi sana
Ya walimwengu kwa walimwengu....Hakika dunia inaenda kasi sana
Hela imekuwa ngumu sana kwa Dada zetuUlimuangalia kwa macho gani? Yaani kwa namna ipi?
Unajua macho ni majanja sana. Unaweza ukamuangalia mtu kwa kumtishia. Unaweza kumuangalia kiudadisi. Unaweza kumuangalia mtu kwa kumuita na kutaka kufahamiana naye.
Dada hana shida, bila shaka Ulimuangalia kwa macho ya matamanio naye akayatafsiri vema kabisa, ujumbe ukafika.
Akajibu kwa kukufuata.. Unaanza kutetemeka.
Pole Sana.. Komesha macho yako.
Nitaenda huko kesho..Asante saana kwa taarifa[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]Weekend iliyopita nilikuwa bar moja ukipita Dar live upande wa kushoto.
Saa moja usiku nipo counter, kaja dada mmoja ile kumuangalia tu kosa, kanifata ananinong'oneza chumba 5000 na mimi 5000 kwampalange tunaenda hata sikujua nijibu nini. Sitakuja tena Mbagala bakini huko na ushenzi wenu. Acha nibaki kwetu Kinondoni baby.
Kiongozi usiende kwenye laana mkuuNitaenda huko kesho..Asante saana kwa taarifa[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Sent using Jamii Forums mobile app
Haipasuki mkuu. Kunawekwa kyHivi unaweza kwenda kwa mpalange ukiwa umevaa kinga? Haipasuki?
Naenda kuwahubiria habari njemaKiongozi usiende kwenye laana mkuu
Kweli we wa Kinondoni, yaani vile umemalizia tu huo uzi sina swali. Kwa kifupi we ni mwanaume halisi wa Dar............Acha nibaki kwetu Kinondoni baby.
Kwa udhaifu ulioonesha acha tu iwe.....Nitake radhi
Hili ndio jina lake?Masakuu 🤣
Yaah mkuu.....Hili ndio jina lake?
Cha ajabu nje tu hapo machinga wamepanga bidhaa zao wanauza
Kwanza ye mwenyewe hujaona alivyomalizia? Eti 'Kinondoni baby'Nijuavyo mimi ni kwamba 99% ya wanaume wa Kinondoni wanaliwa kwa mpalange.
Huenda hata wewe upo kwenye 99% hiyo mkuu.
Sasa utamuuzia nani bei ghali iwapo buku 3 mtu anakula siku nzima?!!!Ila Kinondoni sio bei rahisi kiasi hicho.
Kuna shida gani kusema "Tanzania baby"Kwanza ye mwenyewe hujaona alivyomalizia? Eti 'Kinondoni baby'
Ni lugha ndiyo hatukatai ila wanapenda kuitumua akina JAMES DELICIOUS.Kuna shida gani kusema "Tanzania baby"
Ni lugha tu
Mkuu Kinondoni ndiyo Tabia zenu aisee.Hili ni tusi kubwa Kinondoni imemeza wakuu wa nchi hii. Tutake radhi tafadhali