Licking Wounds
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 3,979
- 5,146
Kwamba mlikuwa mnalipia parefu mkuu?Nipo nasubiria..... pornography kwa hela shule za wasichana ilikuwa bei ghali kuliko, hii kitu ndio ilileta kusagana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba mlikuwa mnalipia parefu mkuu?Nipo nasubiria..... pornography kwa hela shule za wasichana ilikuwa bei ghali kuliko, hii kitu ndio ilileta kusagana
Umesema wanyonge ndio walikuwa targetKunywa maji kidogo kwanza usikurupuke, ndo maana nikasema mapema Kuna watu walikua target yangu, sio kwamba nilikua natoa mikopo kiholela..
Saaana!!!Kwamba mlikuwa mnalipia parefu mkuu?
Uko sahihi. Kuwakopesha watu kwa riba kubwa sana kuna uwezekano mkubwa sana wa kudhulumiwa kwa sababu hela inakuwa hailipiki.Umesema kipindi hicho ilikuwa sahani ya wali unanunua 200, so 5k ya kipindi hicho ni kama 50k ya sasa
Halafu unamkopesha mtu elfu 5 (50k ya sasa) wakawa wanakulipa 15k (150k ya sasa) na biashara ikawa kubwa?
Yaani hapa ndipo nilipoishia kusoma hii story, hii ni chai ambayo haina sukari,.😂😂😂 Hiyo biashara ungefilisika baada ya muhula mmoja tu
Naongea haya kwa sababu nina experience na biashara ya kukopesha pia
Ukikoesha watu hela tena kwa riba kubwa bila kuwa na dhamana inayoweza kuuzwa kirahisi hapo jiandikishie kufilisika
Haya mnaoamini hii ni kweli nitoleeni povu
Acha awakamate wasiokuwa na uelewa, sisi tunajua hii ni chaiUko sahihi. Kuwakopesha watu kwa riba kubwa sana kuna uwezekano mkubwa sana wa kudhulumiwa kwa sababu hela inakuwa hailipiki.
Dhamani = thamani.Saaana!!!
Rate ni kama 3000 kwa dakika 15
kwa dhaman ya hela leo
Riley, !!!!
FisadiKuu unashusha hadhi ya mafisadi kwa kuamini hii chai.Nilikuwa najiona mimi ndiye nilikuwa smart kutafuta pesa kipindi niko shule kumbe watu mlikuwa smart zaidi 😂😂😂.. Hii ya kukodisha simu kuangalia X sikuwahi kuiwaza kabisa..
Respect the hustle aisee!!
Hata kama ni chai,sidhani kama kuna shida unaweza kusoma au kuacha sio lazima,Mtu kajitolea kutusimulia hatujamlipa chochote.Relax mkuuFisadiKuu unashusha hadhi ya mafisadi kwa kuamini hii chai.
Haha Kuna watu mnakua wajuaji pasipo sababuKwa mamlaka niliyojipa ninautangazia umma kuwa huu uzi ni chai... tuusome kwa kujifurahisha tu hakuna uhalisia wowote hapa.
1. Form one alienda akiwa hajui kama shule haina wanafunzi wa kike. Wasichana kutokuwa admitted ni badiliko kubwa sana ambalo huwa sio la siri. Chai no. 1
2. Chakula Tsh 200 canteen. Kama alisoma wakati wa iPad zinatoka ni kwamba sio miaka mingi iliyopita. Kukadiria ni kama 2010 kuendelea. Vyuoni misosi ilikua Tsh 1000 na zaidi. Hakukuwa na uwezekano upate kwa Tsh 200 wali maharage hata kwa shule za sekondari. Au ilikuwa ni Ihefu sec school? Chai no.2
3. Biashara ya mkopo kwenda smoothly bila mgogoro wowote ni Chai no.3 kwenye biashara ya mikopo lazima watokee wasumbufu. Labda kama wateja ni malaika.
4. Kumiliki simu 4 maalum kwa kutazama porn shuleni ni Chai no.4 hii isingeweza kuwa siri kwa vyovyote vile lazima lingemfikia mwalimu wa nidhamu. Katika wanafunzi kuna wenye maadili wasingelifumbia macho. Kuna wenye wivu na pesa unazopiga wasingekaa kimya. Kimsingi hustles za ndugu mwandishi wakati wa secondary zimetawaliwa na chai.
Kwa hustles za Chuo sina tatizo nazo maana angalau zinawezekana.