Nilivyokuwa najiona mjanja, nikaishia kutapeliwa Milioni 42

Hata wakati Deci inaanza wabishi walikuwepo wakaishia kupigwa.
Kula na like yangu aisee watu wanakosoa sana
Yaani Wewe soma pita hivi hata kwenye hadithi za kutunga kuna cha kujifunza

Sasa kwa maelezo haya mafupi tu kwa upande wangu umemaliza
Na Sio DECI tu
Kuna kitu hapa Juzi juzi ya KALYINDA na ESCATEC watu wamenyooshwa hivihivi na hakuna majibu mpka leo
Shubaaamiti
 
Leta vitu mkuu tukaribishe pasaka vizuri....ila ni story flani hiv unakua kama unaangalia movie na imetukumbusha mengi ya shuleni
 
Mkuu unaamini hii ni uongo kwa sababu ya mazingira uliyosomea.
2010 una uhakika hupati wali wa 200!?
Kitu hawa watunga story hawajui ni kuwa unaweza kabisa kusema ni kisa cha kutunga na bado watu wengi wakavutiwa. Kusema ni kisa cha kweli wakati unatunga ni udanganyifu na hii ni sumu kweli kweli kwenye uandishi. Báhati mbaya kwao ni kuwa kuna watu wenye uwezo mkubwa wa kusoma na kujua kuwa ni uongo. Kwa mpenda kusoma vitabu kama mimi hawa watunzi wa JF wako level ya chini sana kiasi cha kuweza kunidanganya. Ni kama matapeli tu, siku zote tapeli anakuwa na maneno meeeengi akidhani kuwa ndiyo ataaminika kwa urahisi. Kwenye tunzi kama hizi kuna vitu wanafanya makosa kuvisimulia ambavyo kwa hali ya kawaida visingepaswa kusimuliwa.
 
Mwaka 2003-2004 ubwabwa maharage na nyama hapa dar ulikuwa shilingi 200-250 ..sio kila kitu cha kubisha na jamaa ipad kaanza kuziuza yupo chuo ...probably ni 2010-2011-2012..

Na kweli pesa ya stationary chuoni ilikuwa ni shilingi 620,000..unaenda kuchukua dirishani kwa muhasibu soon after orientation period kuisha.

Sio kila kitu ni cha kubisha
 
Labda uko sahihi, mimi kufikia naingia jf basi nina mda wa kupoteza so i don't look for perfection just kuburudika tu.
Pili kupangilia story ni kipaji yawezekana ni kweli lakini ukashindwa kupangilia matukio sawa sawa au ni uongo lakini ukapangilia vizuri
 
Tatizo watu huwa hawazingatii details ndogo ndogo...jamaa kasema wakati anaingia form 1 ...chai tu ilikuwa shilingi 200..!! Nakiri kwa nyakati za miaka ya mwanzoni mwa 2000-2004 ulikuwa unaweza kupata breakfast kwa pesa hiyo.
Chapati zilikuwa zinauzwa sh 50,andazi shilingi 10-20, vitumbua shilingi 10-20 ...chai ya rangi sh 10-20.

Mfumuko wa bei ulikuja utawala wa kikwete ila kipindi cha mkapa life was easy n cool.
 
mzee, mimi sio mwandishi wa story lakini nataka kuoa binti bikra. Nikaribishe nyumbani nipate kujesevia
Nitakutajia mahari nayo hutaiweza kijana wangu.Wewe endelea kuchukua haohao wenzio used kote kote.

Mm ni mpenzi na mtunzi wa hadithi hivyo nikiona kijana akiandika story nzuri huwa natamani kuwa naye karibu na kwa kuwa nina wakuuu wa kike napenda pia kutumia fursa hiyo.
 

Mwaka 2005-2006/7 wakati naishi Buguruni maghettoni, chakula pale Chama/Sheli kwa mama nitilie tulikuwa tunalipa 300/=. Alafu huyu alikuwa anazungumzia canteen ya shule ya sekondari siyo UD.

Kwenye jonining instructions jamaa ametoa maelezo kuwa ishu ya shule kubadilisha sera haikuondolewa, hivyo yeye alienda akijua ni mchanganyiko kama kawa.

Kama unaona chai, lete stori yako isiyokuwa chai otherwise acha wivu na upunguze wenge.
 
Acha ujinga, hata mimi nimekula wali nyama kwa Shilling 300 nikiwa form 1
 
Sizungumzii kupangalia wala kipaji cha kuandika. Unaweza kuwa na kipaji cha kupangilia na kuandika ila usiwe na kipaji cha kudanganya au ''kuchota'' watu akili. Infact hawa watunga uongo kosa lao kubwa ni kujaribu kupangilia story zao kupita kiasi.
 
Sizungumzii kupangalia wala kipaji cha kuandika. Unaweza kuwa na kipaji cha kupangilia na kuandika ila usiwe na kipaji cha kudanganya au ''kuchota'' watu akili. Infact hawa watunga uongo kosa lao kubwa ni kujaribu kupangilia story zao kupita kiasi.
Mkuu twende kwa mifano hapo uongo uko wapi unaoweza kuuona bila shaka
 
Canteen ya chuo nimeweka kama mfano. Kwanini mnang'ang'ania stori zenye harufu ya uongo zisikosolewe?
 
Unateseka ukiwa wapi?
 
Umejuaje kama ni bikra?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…