Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Mkuu nipe list ya stori zilizowahi kukimbiza humu JF hata za zaman before ile ya KHUMBU maana zamani nilikuwa sifatili sasa huu wa PAUL naona speed yake ya kuandika imeanza kuwa na mashaka.

Pia uniambie nyuzi,hizo zinapatikana jukwa lini.

Asante
Kuna mtu anaitwa Kitoabu sikumbuki majina ya nyuzi ila ziko 2 na zote ni za moto sanaa kuhusiana na issue zake za uchimbaji wa madini
 
Story tamu sana mkuu, shusha nondo fupi fupi
 
Mkuu wewe kama upo akilini mwangu. JITU LINAKUJA KUPINGA KILA KITU UTADHANI LIMELIPIA HII SIMULIZI.

DAH NIMEUMIA SANA KUKOSA MUENDELEZO WA HII SIMULIZI.

HUMU JF HAKUNA SIMULIZI ZINAZOSISIMUA KAMA ZA SOUTH AFRICA. ILE NDIO ULAYA YETU MKUU KWA HAPA AFRICA.
 
Bado tunaisubulia ile uliyoikatisha konda msafi
 
Nobody would like to read a plagiarized story, one that was once posted here before. I lost interest in his story after learning that plus the key points his missed as pinpointed by Honorable Konda msafi.
 

" jina langu kabisa la Keegan Bashite"

Umejua kunichekesha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…