Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Hawa jamaa huwaga wakisifiwa wanakula kona...
inatakiwa wamwage story kama bujibuji....
bujibuji akilianzisha mpaka mnakoma na story
ndio maana mwanzoni uzi unaanza nilimwambia aache Ufala.


napenda sana stories kama hizo...ila kusubiri naonaga ujinga shusha kitu kiishe...kuna mwamba alitupa story ya south jins alivyoponea kuuliwa na polisi alishusha episode moja ndefu sana story ikaisha


hawa nitarud sijui itaendelea wanaboa sana

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nanunua ugomvi mama...ole wake wapenda pajama waje kudiss



ulienda na basi au mwewe??

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Nilienda kwa bus, kupitia njia aliyopita mtoa mada nikarudi kwa mwewe. Njia Dom-Mbeya-tunduma (Nakonde border)-Lusaka-Chirundu one stop border- Beitbridge border moya kwa moya Jozi. Nililala tunduma boda, nikalala na kukaa Lusaka wiki, nikaongoza Jozi.

Kutoka tunduma nilipanda power tools mabasi fulani ya njano, Kutoka Lusaka nilipanda basi inaitwa Joldan kama sijakosea spelling, nalikumbuka tu ni la rangi ya zambarau.

Changamoto ya safari ya barabara, ni kuombwa rushwa uhamiaji, hata mimi niliombwa tunduma na chirundu, tena aliyeniomba chirundu ni mdada, wanasema kuwa ukionekana na passport ya kijani, lazima uombwe mpunga. ( enzi hizo ni zile pass zetu za kijani) Sijui kwa sasa.
 
Nimependa asee katika Utaftaji
 
kwann ulikaa lusaka week...au uliamua??


au kuna kitu kilikukwamisha

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Mwongo mkubwa wewe, eti Manyoni - Tinde unakula vumbi kidogo, wapi hapo? Halafu ramani ya Bwanga-Geita unaenda wapi huko? (Mkuu huu ni utani usije ukanirarua). Halafu nyie si ndio mmetangazwa bungeni hamna nguvu za kiume? Kumbe ni hayo mavyakula yenu mnayokulakula njiani eeeeh?
 
Naomba ufafanuzi huwa naona hizo T1, A1, N2, kwenye vibao barabarani, huwa na maana gani!?
Hizi ni freeways au highways na inategemeana kati ya nchi na nchi mfano N(ni national roads ndani ya SA)na kuna N1 hii ni Beitbrige hadi cape town;N2 hii ni cape town hadi Durban,N3 hii ni Durban to Jhb etc etc vile vile wana Rs hizi zipo chini ya local governments:T1 hizi ni freeways za nchini hapa from T1 ni kutoka Tunduma hadi Dar na As hizi ni freeways za Botswana. Wengine wataongezea mkuu
 

Mkuu mbona unanishambulia, Bwanga ukiacha kuelekea chato, unaenda katoro Buseresere/ katoro geita, sengerema, mwanza, mwanza unaweza kuamua uende Musoma then upite mbugani serengeti ili utokee geneva of africa, au urudi utokee Bariadi/simiyu uingie Arusha kupitia loriondo. Bado unaswali? Kule juu nimetaja njia ya Runzewe lakini unaweza kukatisha njia ya vumbi ushirombo kutokea katoro ukaendelea na safari zako
 

Nakupa route kidogo kwa maandishi, Mbeya To Tabora kupitia chunya, makongorosi, unafika Rungwa unachoma kuku na mtungi kidogo baada ya hapo break kidogo kitunda mgodini ukanyage hadi ipole, then sikonge ndio ufike Tabora tumsubiri keagan hapa tukipata wadhamini kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…