Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Hahahaha umenifurahisha sana. Unajifunza mambo mengi sana
 
[emoji3][emoji3][emoji3] umarioo MDA mwngne unalipa....
 
nakubali mkuu umoja walio nao wale sisi bado kutokana na uchache wa waliopo either hapa au kule nje kwa kujilipua

kuna mahali nilienda tu trip wapo watanzania wenzetu hawapendi kujulikana kama wao ni watanzania kabisa yani unashangaa sana

mahali hapo marafiki nilionao 50 kwa hesabu ya haraka 30 west africa 10/12 kenyans na 9/10 waganda
 
Usiniimbishe bure tu nikakausha mate, nipe uelekeo Kwanza uko wapi? Ulishawahi kujilipua? Kama bado je hujawaza maana nahisi we Ni kidume, sie ke wengi tunabebwa na maumbile yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…