Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Nitarud badae
 
Hiyo ya Mayotte mkuu em' nipe link
 
Hakuna sehemu duniani kila mtu akawa kila wanavosema. Na huyo atwkayeamini atakua ni mduanzi. Ndo kama haya ya wanaijeria wezi matapeli

Kila mtu Anafanya yake. Ila wabongo wa ngada pia wapo tena wengi tu
 
Ungeendelea na story tu mkuu..Maswali utajibu baadae..
 
duu hatari
 

Kosa la kiufundi la kwanza
 
Kanyaga twende tumecherewa mno
 
Duh Sasa uliolewa na una watoto watatu ..Ina maana hukuwa na mume mkuu? Au tuseme ulizalishwa
 
Sijawahi kutafuna bikra
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…