Nenda pale Agha khan Hospital then waulizie wanaija ma specialist pale, ndio utaelewa.Unataka kunambia kuna wanaijeria wengi hapa bongo? Makazi yao hasa ni wapi? Na wanajishughulisha na nini wengi wao?
Utasema ushawahi lionaDear una zigo la jambazi, balaa. SI haba.
Wasomali wanashirikiana hata hapa kariakoo kwenye madjka ya vifaa vya stationery/ computer Laptop/dektop & AccessoriesWakuu eeh mnawafahamu wasomali...
Umoja wao mnaufahamu?
Umeshawahi onalife lao?
Wanaishi mtaa mmoja..
Wanachukuana kwao kila siku...
Tatizo wanalibeba wote...
Pia nao kwa kujilipua so haba ..border hapa karibu kila siku wanavushwa kwenda Sa ...Baada ya muda wanarudi walionyookewa na maisha wanakuja kuchukua wenzao.. l
Kama wasomali wa hapa border dah Mshikamano wao nimeipenda.
Wabongo tuache ungese
Mkuu mtoto wa mstaafu, Keagan Paul, naomba uniruhusu nicomment kidogo. Kuna vitu kwenye stori yako havipo sawa kidogo, naelewa huenda labda umeamua kuvifanya visiwe sawa kwa maksudi na si kwa bahati mbaya. Kuna sehemu nimekusoma unasema wale jamaa wanaomuuzia "nyaupe" jamaa Y wanafanya kazi kama punda. Hapo mzee umepindisha ukweli, Dizonga hakuna wabongo wanaokula bata kama wauza nyaupe. Kufanya kazi kama punda kwako wewe labda kuna tafsiri gani? Maana hao jamaa kazi yao ni kupokea simu tu na kupeleka mzigo location unapohitajika na akifika pale ni kitendo cha sekunde mbili keshamaliza kazi, haina hata kuhesabu hela, hela itahesabiwa baada ya kuondoka eneo la tukio, na wale wanunuzi ni waamifu sana hawatoi hela pungufu japo hamuhesabiani eneo la tukio. Zaidi ya yote jamaa wana usafiri hawasambazi kwa miguu, hata kama mtu ameanza kuuza leo haiwezi kumchukua zaidi ya mwezi hajapata usafiri, sasa unaposema wanafanya kazi kama punda kidogo kama umepindisha uhalisia. Pia umesema huwa wanaweka hizo kete mdomoni na polisi wakivamia wanazimeza, mzee hii pia sio kaka. huwezi kumeza madawa kizembe hivyo. Donga ndio zinamezwa wakati wa kuzisafirisha intercontinental lakini sio mzigo umeshafika ndani ya nchi bado mtu ameze. Hiyo risk hakuna mtu wa kuitake, kwanza ufungaji wa hizo kete sio imara sana uimeze halafu ubaki salama. Ufungaji wa donga ndio imara unaweza kumeza na ukasurvive lakini sio kete mkuu. Halafu mademu wa Gauteng yaani Joburg na Pretoria wana attitude flani tofauti na uliyoielezea tena kama hapo Midrands ndio kabisa. Nimekaa Randburg kama miaka 6 au 7, 209 Bellairs Drive, Benbury Cross, North Riding. Randburg nadhani kwa Johannesburg ni sehemu wanayokaa matajiri wa South Africa ukitoa Sandton na Fourways. Ninachotaka kusema hapa mademu wa kishua wa Gauteng nazijua attitude zao maana nimeishi nao. Pia umesema permit (viza) yako iliexpire ukiwa bado kwa bwana Y, sasa uliwezaje kutafuta kazi wakati tayari ulikuwa unaishi kinyume cha sheria maana kitu cha kwanza lazima wakuulize ID yako. Mind you Johannesburg na Pretoria ni miji ambayo kama huna permit ni ngumu sana kusurvive. Joburg hata ukiwa unatembea barabarani unaweza kushitukia tu unasimamishwa na police na kuombwa ID tofauti na miji mingine kama Durban, sasa wewe uliwezaje kutafuta kazi wakati hata permit yenyewe huna? sijui kama umenielewa? Na kwa Johannesburg misako ya kutafuta wahamiaji haramu ipo kila uchwao.
Yoga umetujaaKwa hiyo sisi wabongo tunafelia wapi mkuu?
Hapa naungana na wwPia umesema huwa wanaweka hizo kete mdomoni na polisi wakivamia wanazimeza, mzee hii pia sio kaka. huwezi kumeza madawa kizembe hivyo.
Wengine nawaona huku kariakoo wanapenda kula ugali na kisamvu 😄Nenda pale Agha khan Hospital then waulizie wanaija ma specialist pale, ndio utaelewa.
Hamna kitu hapo unampamba tu!Dear una zigo la jambazi, balaa. SI haba.
Alafu hao hao.wanaoponda single moms kuutwa kuomba omba vielfu 10 kwa hao singleparent .mie nachekaga sana jamani...! Mtu hana msos siku 2 lakini huku anavyojimwaga sasa kuwachana single mom! Jion anaomba kwa hao hao single mom...ueheheheeUnazungumziaje baadhi ya wanaume choka mbaya walio hapa bongo wanaoendelea kuwaponda single mothers kuwa hawafai kuolewa?
Mbona mimi hujaniwekea?Weka akiba ya maneno.
Wenye uhitaji nishawawekea story Pm.
Ziite fix ila wapo wanaosoma huko inbox
Madam B nimewahi kula pale Meridian kinondon enzi hizoHamna kitu hapo unampamba tu!
Its ok..mtu akiandika kiutani tunajibu kwa utani ss ww ghafla ukavamia kikao!Samahani[emoji1545][emoji1545]
Unapenda kuona msambwanda wa mwanamke mwenzio? Au ww ni me? Am sorry km ni me!Mbona mimi hujaniwekea?
Unamuuliza mwanaume kama anapenda kuona msambwanda?Unapenda kuona msambwanda wa mwanamke mwenzio? Au ww ni me? Am sorry km ni me!
Nashukuru nimebahatika kukutana na mwekezaji mzalendoSasa hapo upate mwekezaji wa kimataifa awekeze mtaji wake mbona utafurahi, lakini ukipata mtalii hawa hawana faida na maliasili ya kimataifa
Haya sasa kijana wa khumbu Mwenye SA mkononi amekuja, huu uzi utaisha kweli [emoji848][emoji848]Mkuu mtoto wa mstaafu, Keagan Paul, naomba uniruhusu nicomment kidogo. Kuna vitu kwenye stori yako havipo sawa kidogo, naelewa huenda labda umeamua kuvifanya visiwe sawa kwa maksudi na si kwa bahati mbaya. Kuna sehemu nimekusoma unasema wale jamaa wanaomuuzia "nyaupe" jamaa Y wanafanya kazi kama punda. Hapo mzee umepindisha ukweli, Dizonga hakuna wabongo wanaokula bata kama wauza nyaupe. Kufanya kazi kama punda kwako wewe labda kuna tafsiri gani? Maana hao jamaa kazi yao ni kupokea simu tu na kupeleka mzigo location unapohitajika na akifika pale ni kitendo cha sekunde mbili keshamaliza kazi, haina hata kuhesabu hela, hela itahesabiwa baada ya kuondoka eneo la tukio, na wale wanunuzi ni waamifu sana hawatoi hela pungufu japo hamuhesabiani eneo la tukio. Zaidi ya yote jamaa wana usafiri hawasambazi kwa miguu, hata kama mtu ameanza kuuza leo haiwezi kumchukua zaidi ya mwezi hajapata usafiri, sasa unaposema wanafanya kazi kama punda kidogo kama umepindisha uhalisia. Pia umesema huwa wanaweka hizo kete mdomoni na polisi wakivamia wanazimeza, mzee hii pia sio kaka. huwezi kumeza madawa kizembe hivyo. Donga ndio zinamezwa wakati wa kuzisafirisha intercontinental lakini sio mzigo umeshafika ndani ya nchi bado mtu ameze. Hiyo risk hakuna mtu wa kuitake, kwanza ufungaji wa hizo kete sio imara sana uimeze halafu ubaki salama. Ufungaji wa donga ndio imara unaweza kumeza na ukasurvive lakini sio kete mkuu. Halafu mademu wa Gauteng yaani Joburg na Pretoria wana attitude flani tofauti na uliyoielezea tena kama hapo Midrands ndio kabisa. Nimekaa Randburg kama miaka 6 au 7, 209 Bellairs Drive, Banbury Cross, North Riding. Randburg nadhani kwa Johannesburg ni sehemu wanayokaa matajiri wa South Africa ukitoa Sandton na Fourways. Ninachotaka kusema hapa mademu wa kishua wa Gauteng nazijua attitude zao maana nimeishi nao. Pia umesema permit (viza) yako iliexpire ukiwa bado kwa bwana Y, sasa uliwezaje kutafuta kazi wakati tayari ulikuwa unaishi kinyume cha sheria maana kitu cha kwanza lazima wakuulize ID yako. Mind you Johannesburg na Pretoria ni miji ambayo kama huna permit ni ngumu sana kusurvive. Joburg hata ukiwa unatembea barabarani unaweza kushitukia tu unasimamishwa na police na kuombwa ID tofauti na miji mingine kama Durban, sasa wewe uliwezaje kutafuta kazi wakati hata permit yenyewe huna? sijui kama umenielewa? Na kwa Johannesburg misako ya kutafuta wahamiaji haramu ipo kila uchwao.
Umejadiri jambo la msingi sana!Nani amekwambia hawakubaliki???....mfukoni wako vizuri
Wewe ambaye ukienda "unakubalika"..... Umefaidika nini??
Umasikini wa Naijeria na Huku kwetu wapi kuna nafuu???
Unajua ni hela kiasi gani zinaingia Nigeria kutoka kwa Diaspora?? Ambazo zinasaidia jamii yao??
Hayo mawazo ya kutaka " kukubalika" ndio utopolo tuliojazwa toka tunakua yani mpaka saivi vijana wanahangaika wazazi wanataka wote waajiriwe serikalini( SU-Soma Ule/Shirika la umma) matokeo yake vijana wamebaki kuwa na stress tu. Kasomesha mtoto na hana msaada mzazi kastaafu halafu mtoto anashindwa hata kumsaidia utaleta "kukubalika" kwenye kikao cha familia kumchangia mshua Aende Apollo India matibabu??
Kuna siku nilikua na demu mmoja wa Kiswana kutoka sauzi nikaanza kuongea huo utopolo wa Nyerere kaisaidia South Afrika nikitaka "nikubalike" wakati huyo dada hata Nyerere hamjui wala Tanzania haijui ananishangaa tu na "kukubalika" kwangu kwamba waafrika kusini ndugu zetu😂😂
Matatizo ya Ujamaa hayo......dunia hii ni yq ubepari fanya vyovyote kuwa na hela utakubalika tu. Unadhani tunawapenda sana Wazungu??? Madola wanayoyaleta ndo "tunawakubali"
Badilisheni mindsets hizo,kuweni na uthubutu
Mkuu naomba unipm na mimi hiyo story.Weka akiba ya maneno.
Wenye uhitaji nishawawekea story Pm.
Ziite fix ila wapo wanaosoma huko inbox
Nimekupenda bure shoga angu wa uchungu Demi Malkia wa nguvuWe ndugu acha kijiona msafi sana, watu wanapiga story zao kusogeza uzi, hao unaowaita madanga hawajawahi kukudangia, na hao malaya hujawahi kuwafukunyua, acha umbea mtoto wa kiume relax tusubiri story iendelee