Pm yangu naambiwa imejaa mkuu.Mkuu naomba unipm na mimi hiyo story.
Bas najuaga ww ke..am sorry ..sioni wivu ..nilijua ww ke unaomba uone tako..hahaa peaceUnamuuliza mwanaume kama anapenda kuona msambwanda?
Nitumie na wako niuone au bibie unaona wivu?[emoji23][emoji23]
Pm yangu imejaa.Mbona mimi hujaniwekea?
Mwandiko wa shemasi huu [emoji1787][emoji1787], sema hongera kwa kufuatilia uzi hatua kwa hatua na kuuelewa, binafsi nimeelewa ufafanuzi huuKonda makosa ya kiufundi hayo yanatokea....
[emoji117]May be kwa kuwa alikua mpya akawa anajua wanaficha mdomoni maana ndio alianza kujifunza.
[emoji117]May be ile kurudi usiku sana ndio maana akawa anasema wanafanya kazi kama punda. Kuna sehemu alisema walilala saa 11 alfajiri na kudamka saa 1 asubuhi.... Si mchezo...
[emoji117] Hadithi yake mpaka sasa haionyeshi kuwa ametimiza hata miezi mitatu hapo SA. Na inaonekana hakuwa na ABC za sheria za huko, na hata aliokutana nao hawakuwa wamempa tahadhari ya vibali. Inawezekana alianza kusambaza barua bila kujua anaweza kudakwa au tuseme kama alivyosema aliamua kujilipua tu maana ndio kilichompeleka. Inawezekana ilikua bahati yake kutodakwa mapema 40 hazikufika....
[emoji117]Kumbuka alijiingiza kwenye kanisa na elewa mara nyingi watu makanisani huwa wanaweka wahamiaji sana. Nenda hata makanisa yetu haya ya kilokole utakuta wakenya wanyarwanda kila taifa wapo wanaishi bila vibali....
MAPITO NI TOFAUTI EXPERIENCE YAKO SI YAKE.....
TUMPE MUDA AELEZEEE KWA NAMNA ALIVYOISHI....
Ila pia KUDOS kwako umempa hint pale palipokua sio sawa.....
Jamhuri ya JF.... story iendeleeeee
πππ...ndo naona hiyo nw .hahaaa .. ukute mfukon8 ana 800 za kurudia kwakeWe ndugu acha kijiona msafi sana, watu wanapiga story zao kusogeza uzi, hao unaowaita madanga hawajawahi kukudangia, na hao malaya hujawahi kuwafukunyua, acha umbea mtoto wa kiume relax tusubiri story iendelee
Hata mie usinisahau kwenye huo ufalmePm yangu imejaa.
Ngoja nifute baadhi, nakuja
Oy unaharibu uzi huu kausha Basi. Samahani lakiniPumbbavu wewe SN.BARRY
Uzi sio wako unaleta kimbelembele.
Keagan Paul hataki kukuna wanaume wenzake...nyau we.
Eti wadangaji,
Kwa taarifa yako sie ni wadhamini wa kipindi hiki na tumelipia matangazo, tunasukuma uzi tukisubiri muhusika arejee uwanjani.
Punda we!!
Sawa mkuuHata mie usinisahau kwenye huo ufalme
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π..yatosha mama laoPumbbavu wewe SN.BARRY
Uzi sio wako unaleta kimbelembele.
Keagan Paul hataki kukuna wanaume wenzake...nyau we.
Eti wadangaji,
Kwa taarifa yako sie ni wadhamini wa kipindi hiki na tumelipia matangazo, tunasukuma uzi tukisubiri muhusika arejee uwanjani.
Punda we!!
Hamna shida iam Lucha.Oy unaharibu uzi huu kausha Basi. Samahani lakini
Hahaha eti mwandiko wa shemasi.... Usije ukafanya Jamhuri ikaniandama kabwela mimi....Mwandiko wa shemasi huu [emoji1787][emoji1787], sema hongera kwa kufuatilia uzi hatua kwa hatua na kuuelewa, binafsi nimeelewa ufafanuzi huu
Sawa mkuuPm yangu naambiwa imejaa mkuu.
Natakiwa ni-delete baadhi ya chatting
LMkuu mtoto wa mstaafu, Keagan Paul, naomba uniruhusu nicomment kidogo. Kuna vitu kwenye stori yako havipo sawa kidogo, naelewa huenda labda umeamua kuvifanya visiwe sawa kwa maksudi na si kwa bahati mbaya. Kuna sehemu nimekusoma unasema wale jamaa wanaomuuzia "nyaupe" jamaa Y wanafanya kazi kama punda. Hapo mzee umepindisha ukweli, Dizonga hakuna wabongo wanaokula bata kama wauza nyaupe. Kufanya kazi kama punda kwako wewe labda kuna tafsiri gani? Maana hao jamaa kazi yao ni kupokea simu tu na kupeleka mzigo location unapohitajika na akifika pale ni kitendo cha sekunde mbili keshamaliza kazi, haina hata kuhesabu hela, hela itahesabiwa baada ya kuondoka eneo la tukio, na wale wanunuzi ni waamifu sana hawatoi hela pungufu japo hamuhesabiani eneo la tukio. Zaidi ya yote jamaa wana usafiri hawasambazi kwa miguu, hata kama mtu ameanza kuuza leo haiwezi kumchukua zaidi ya mwezi hajapata usafiri, sasa unaposema wanafanya kazi kama punda kidogo kama umepindisha uhalisia. Pia umesema huwa wanaweka hizo kete mdomoni na polisi wakivamia wanazimeza, mzee hii pia sio kaka. huwezi kumeza madawa kizembe hivyo. Donga ndio zinamezwa wakati wa kuzisafirisha intercontinental lakini sio mzigo umeshafika ndani ya nchi bado mtu ameze. Hiyo risk hakuna mtu wa kuitake, kwanza ufungaji wa hizo kete sio imara sana uimeze halafu ubaki salama. Ufungaji wa donga ndio imara unaweza kumeza na ukasurvive lakini sio kete mkuu. Halafu mademu wa Gauteng yaani Joburg na Pretoria wana attitude flani tofauti na uliyoielezea tena kama hapo Midrands ndio kabisa. Nimekaa Randburg kama miaka 6 au 7, 209 Bellairs Drive, Banbury Cross, North Riding. Randburg nadhani kwa Johannesburg ni sehemu wanayokaa matajiri wa South Africa ukitoa Sandton na Fourways. Ninachotaka kusema hapa mademu wa kishua wa Gauteng nazijua attitude zao maana nimeishi nao. Pia umesema permit (viza) yako iliexpire ukiwa bado kwa bwana Y, sasa uliwezaje kutafuta kazi wakati tayari ulikuwa unaishi kinyume cha sheria maana kitu cha kwanza lazima wakuulize ID yako. Mind you Johannesburg na Pretoria ni miji ambayo kama huna permit ni ngumu sana kusurvive. Joburg hata ukiwa unatembea barabarani unaweza kushitukia tu unasimamishwa na police na kuombwa ID tofauti na miji mingine kama Durban, sasa wewe uliwezaje kutafuta kazi wakati hata permit yenyewe huna? sijui kama umenielewa? Na kwa Johannesburg misako ya kutafuta wahamiaji haramu ipo kila uchwao.
Nyie ndio mmekuja kuharb Uzi anzisha Uzi wako wa matako makubwa ndege mnaofanana mtapaa pamoja watu tunajifunza maisha ya South ili tujue tutaingie huko ww unakuja kutangaz ujingaPumbbavu wewe SN.BARRY
Uzi sio wako unaleta kimbelembele.
Keagan Paul hataki kukuna wanaume wenzake...nyau we.
Eti wadangaji,
Kwa taarifa yako sie ni wadhamini wa kipindi hiki na tumelipia matangazo, tunasukuma uzi tukisubiri muhusika arejee uwanjani.
Punda we!!
Haya mdogo angu nimekusikia.... π π ππ€£π€£π€£π€£π€£π€£π..yatosha mama lao
Kukosa hela kwani utulivu unaupata sasa? NeverHaya mdogo angu nimekusikia.... π π π
Ila wanakera sana hawa
Wasamehe tuHaya mdogo angu nimekusikia.... [emoji17] [emoji17] [emoji17]
Ila wanakera sana hawa
Konda MsafiMkuu mtoto wa mstaafu, Keagan Paul, naomba uniruhusu nicomment kidogo. Kuna vitu kwenye stori yako havipo sawa kidogo, naelewa huenda labda umeamua kuvifanya visiwe sawa kwa maksudi na si kwa bahati mbaya. Kuna sehemu nimekusoma unasema wale jamaa wanaomuuzia "nyaupe" jamaa Y wanafanya kazi kama punda. Hapo mzee umepindisha ukweli, Dizonga hakuna wabongo wanaokula bata kama wauza nyaupe. Kufanya kazi kama punda kwako wewe labda kuna tafsiri gani? Maana hao jamaa kazi yao ni kupokea simu tu na kupeleka mzigo location unapohitajika na akifika pale ni kitendo cha sekunde mbili keshamaliza kazi, haina hata kuhesabu hela, hela itahesabiwa baada ya kuondoka eneo la tukio, na wale wanunuzi ni waamifu sana hawatoi hela pungufu japo hamuhesabiani eneo la tukio. Zaidi ya yote jamaa wana usafiri hawasambazi kwa miguu, hata kama mtu ameanza kuuza leo haiwezi kumchukua zaidi ya mwezi hajapata usafiri, sasa unaposema wanafanya kazi kama punda kidogo kama umepindisha uhalisia. Pia umesema huwa wanaweka hizo kete mdomoni na polisi wakivamia wanazimeza, mzee hii pia sio kaka. huwezi kumeza madawa kizembe hivyo. Donga ndio zinamezwa wakati wa kuzisafirisha intercontinental lakini sio mzigo umeshafika ndani ya nchi bado mtu ameze. Hiyo risk hakuna mtu wa kuitake, kwanza ufungaji wa hizo kete sio imara sana uimeze halafu ubaki salama. Ufungaji wa donga ndio imara unaweza kumeza na ukasurvive lakini sio kete mkuu. Halafu mademu wa Gauteng yaani Joburg na Pretoria wana attitude flani tofauti na uliyoielezea tena kama hapo Midrands ndio kabisa. Nimekaa Randburg kama miaka 6 au 7, 209 Bellairs Drive, Banbury Cross, North Riding. Randburg nadhani kwa Johannesburg ni sehemu wanayokaa matajiri wa South Africa ukitoa Sandton na Fourways. Ninachotaka kusema hapa mademu wa kishua wa Gauteng nazijua attitude zao maana nimeishi nao. Pia umesema permit (viza) yako iliexpire ukiwa bado kwa bwana Y, sasa uliwezaje kutafuta kazi wakati tayari ulikuwa unaishi kinyume cha sheria maana kitu cha kwanza lazima wakuulize ID yako. Mind you Johannesburg na Pretoria ni miji ambayo kama huna permit ni ngumu sana kusurvive. Joburg hata ukiwa unatembea barabarani unaweza kushitukia tu unasimamishwa na police na kuombwa ID tofauti na miji mingine kama Durban, sasa wewe uliwezaje kutafuta kazi wakati hata permit yenyewe huna? sijui kama umenielewa? Na kwa Johannesburg misako ya kutafuta wahamiaji haramu ipo kila uchwao.