Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Nyie ndio mmekuja kuharb Uzi anzisha Uzi wako wa matako makubwa ndege mnaofanana mtapaa pamoja watu tunajifunza maisha ya South ili tujue tutaingie huko ww unakuja kutangaz ujinga
Unataka kuingia South kaka.
Simple tu.
Olewa na mwanaume mwenzako utapata visa ya kuingilia kule mtaa umetulea
Unajua South wamehalalisha ndoa za jinsia moja mkuu...olewa, utapata kuingia kule, tumia utupu wako wa nyuma kwa faida mkuu, maana mbele kuna bamia na nyanya chungu tu ambazo hutaweza kuzitumia.
 
Umecholopoka kwa wajanja waliokuweka mtegoni!
Naona unatembea kwenye njia za kijanja.
 
L

Haaah haaah!!!mwana acha hizo,wewe mwenyewe kwenye story yako ya KHUMBU kuna mambo kibao yalikuwa yanaleta utata kwa watu wanaoijua South vizuri ila tulitulizana tu mpaka mwisho,sasa muache jita amalize story yake naye!!!
Stori ya Khumbu hakuna hata kipande kimoja chenye utata, sana sana kuna mambo mengi sana sikuyaongelea maana ningeyaongelea yote nadhani mpaka sasa stori ingekuwa inaendelea. By the way nimemuomba Keagan Paul nitoe tu kicoment changu na wala sikuwa na nia mbaya mkuu.
 
poor reasoning yake iko wapi
 
Sawa mkuu, nimekupata. Sitii neno tena.
 

Haina noma mkuu,acha story niendelee mengine we potezea tu!!
 
Nimekaa huko ila kuna vitu kama sembe naona hakuwa na dili nazo,wauza sembe wanapesa sana na ndo dili kubwa unaweza kutoboa.mwakani nitarudi maana maisha ya kule rahaa sana
Kwa sasa maisha yamebadilika ndugu.. siku hizi sembe hata wazawa wanauza. Ukisikia watu wanapiga wageni kwa kisingizio kuwa wageni wanaharibu watoto/ndugu zao ujue hiyo sio kweli. Lengo lao kuu ni kuona wageni wanaondoka au wanaziacha hizo biashara afu wanabaki wanauziana wenyew
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…