Nishapoa mwali wangu.Ni utoto na kukosa kazi...pole
Alafu hao hao.wanaoponda single moms kuutwa kuomba omba vielfu 10 kwa hao singleparent .mie nachekaga sana jamani...! Mtu hana msos siku 2 lakini huku anavyojimwaga sasa kuwachana single mom! Jion anaomba kwa hao hao single mom...uehehehee
Tuzoee aisee...Wanaume wa humu ukijipindua tu....wamejazana Pm.
Sijui wana kasumba gani aisee.
Anataka uhakika hapo ujue.
Nilishajua mkuu...unaona hata kumtukana unamzidishia ugumu wa maisha .ajabu sana yaaniHivi unadhani kuna mwanaume mwenye maisha na mishe za kueleweka atawaponda wanawake? Wengi wa watukanaji jua hao ni broke kwa sababu mtu asie broke anawaza kua na furaha na kamwe hafuatilii yasiyomuhusu
Hammjui madame nyie madame ni mchangamshaji..semq na nyie mnajaa kwa 18 zakeHivi ukiangalia vitu alivyotaja Madame B utasema waliomfata PM ni watoto?
Ametangaza business, watu wamfata.
Binafsi nimeshangaa kweli wakati uzi wake ulikua na mavumba kibao ila tukamkaushiaga tu leo yeye anaibuka tu huku.L
Haaah haaah!!!mwana acha hizo,wewe mwenyewe kwenye story yako ya KHUMBU kuna mambo kibao yalikuwa yanaleta utata kwa watu wanaoijua South vizuri ila tulitulizana tu mpaka mwisho,sasa muache jita amalize story yake naye!!!
😁😁😁😁😁😁Kanya alikuwa anaishi kama mimi tu kwenye nyumba inayolipiwa Kodi na Kanisa. Niliona nikianzisha nae mahusiano atakuwa mzigo kwangu, wakati mimi nilipanga kuwa mzigo kwa mtu mwengine.
Huenda yupo jela kwa kosa la kuzurura bila vibali, maake nchi hii ni mshike mshike kwenda mbele. Wabongo wengi vibali vyao vikiisha muda waliopewa wanavitupa ndan tuwapi Mjukuu wa Magu? mbona story haikwendi mbele?
Sawa mkuuWewe ndiye humjui, tunaomjua tunajua yuko serious.
Anazingua ngojaa nimjibie mletaa mada kuhusu kukaa bilaa Passport alisemaa mwanzon walikuwa wanaongezaa mudaa wa kuishi hata mwezi baadae akaamuaa kuachana na iyoo michongo, afui kutafuta kazii kwenyewe alikuwa anasubmit tu vyetii bila kusubiri majibuu.....Haya sasa kijana wa khumbu Mwenye SA mkononi amekuja, huu uzi utaisha kweli [emoji848][emoji848]
Napaelewa Sana kwenda mpaka mwamabondo, Loya huko mbele mbele yalikuaga mapori yangu hayo 2014 niliwahi kutembea kwa miguu kutoka mpyagula mpaka Loya saa 12 jioni naanza safari njiani mvua imenyesha ila maisha haya!!!! Acha tu yaani😭😭😭😭Hivi mkuu unapajua mpyagula , unaweza kupitia igunga au nzega, haya sio maisha kule mama ntilie wanauza 500 unapata ugali na kambale mkubwa, kuna mabasi wa waraabu koko yanaenda kule basi mtu kule anakuhadithia huku ukituliza hela unatoboa unamchek kiaina unasema ni kweli Boss, funguo za chumba chako lodge anakaa nazo mwenye nyuma, ukitakA kutoka anaitwa kufunga mlango ukirudi kijana anaenda kumwita akufungulie Bongo nyoso acha tu
Utatupatia better reasoning yako tuchambue.Tatizo lilikuja kutokea siku moja kwenye Birthday Party ya Mchungaji wetu ilifanyika usiku nyumbani kwake. Tulifika waumini kama wote.Kulikuwa na Nyama choma kama zote. Sasa yule demu mrembo mwenye ndinga lake nae alikuwepo. Nikasema leo lazima nitumie nafasi vizuri. Party ilifanyika nje halafu kulikuwa na kigiza giza fulani hivi, Nikasema Leo natumia hii nafasi vzr, Nikawa napiga piga nae story pale, mara tunapiga piga picha pale, sikufanya makosa hadi tukabadilishana namba. Kosa nililolifanya ni kwamba baada ya kutoka pale zile Picha nakumbuka nilipost Facebook. Halafu Kanya sijawai hata siku moja kumpost. Ugomvi kati yangu na Kanya ulikuwa mzito. Ishu ya namna hii kwa Wanawake ni kubwa sana.
poor reasoning
Haya mwayaTuzoee aisee...
rubbishUtatupatia better reasoning yako tuchambue.
Ukuwa nje ya uwanja unaona makosa vizuri sana ila ingia uwanjani tuone utakavyopangua ...
we unamjua vizur na msambwanda wake.Hammjui madame nyie madame ni mchangamshaji..semq na nyie mnajaa kwa 18 zake
Nenda pale Agha khan Hospital then waulizie wanaija ma specialist pale, ndio utaelewa.
Labda unanijua kwa ile Id yako ingine au kwa kunifuatilia tangu 2012.Wewe ndiye humjui, tunaomjua tunajua yuko serious.
Nadhani kuna sehemu moja kasema alirudi nchini so yuko TZ wakati anaandika hii kituHuenda yupo jela kwa kosa la kuzurura bila vibali, maake nchi hii ni mshike mshike kwenda mbele. Wabongo wengi vibali vyao vikiisha muda waliopewa wanavitupa ndan tu