Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Alafu hao hao.wanaoponda single moms kuutwa kuomba omba vielfu 10 kwa hao singleparent .mie nachekaga sana jamani...! Mtu hana msos siku 2 lakini huku anavyojimwaga sasa kuwachana single mom! Jion anaomba kwa hao hao single mom...uehehehee

Hivi unadhani kuna mwanaume mwenye maisha na mishe za kueleweka atawaponda wanawake? Wengi wa watukanaji jua hao ni broke kwa sababu mtu asie broke anawaza kua na furaha na kamwe hafuatilii yasiyomuhusu
 
L

Haaah haaah!!!mwana acha hizo,wewe mwenyewe kwenye story yako ya KHUMBU kuna mambo kibao yalikuwa yanaleta utata kwa watu wanaoijua South vizuri ila tulitulizana tu mpaka mwisho,sasa muache jita amalize story yake naye!!!
Binafsi nimeshangaa kweli wakati uzi wake ulikua na mavumba kibao ila tukamkaushiaga tu leo yeye anaibuka tu huku.
 
wapi Mjukuu wa Magu? mbona story haikwendi mbele?
Huenda yupo jela kwa kosa la kuzurura bila vibali, maake nchi hii ni mshike mshike kwenda mbele. Wabongo wengi vibali vyao vikiisha muda waliopewa wanavitupa ndan tu
 
Haya sasa kijana wa khumbu Mwenye SA mkononi amekuja, huu uzi utaisha kweli [emoji848][emoji848]
Anazingua ngojaa nimjibie mletaa mada kuhusu kukaa bilaa Passport alisemaa mwanzon walikuwa wanaongezaa mudaa wa kuishi hata mwezi baadae akaamuaa kuachana na iyoo michongo, afui kutafuta kazii kwenyewe alikuwa anasubmit tu vyetii bila kusubiri majibuu.....
 
Napaelewa Sana kwenda mpaka mwamabondo, Loya huko mbele mbele yalikuaga mapori yangu hayo 2014 niliwahi kutembea kwa miguu kutoka mpyagula mpaka Loya saa 12 jioni naanza safari njiani mvua imenyesha ila maisha haya!!!! Acha tu yaani😭😭😭😭
 
Utatupatia better reasoning yako tuchambue.

Ukiwa nje ya uwanja unaona makosa vizuri sana ila ingia uwanjani tuone utakavyopangua ...
 
Huenda yupo jela kwa kosa la kuzurura bila vibali, maake nchi hii ni mshike mshike kwenda mbele. Wabongo wengi vibali vyao vikiisha muda waliopewa wanavitupa ndan tu
Nadhani kuna sehemu moja kasema alirudi nchini so yuko TZ wakati anaandika hii kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…