Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Yaap unemuelewesha vxr Sana konda msafi mnk yey anamchallenge tu ili kuprove labda Ni chai makonda anatulisha ila umeweka sawa


Jamuhuri ya jf ......story iendeleee
 
Alafu hao hao.wanaoponda single moms kuutwa kuomba omba vielfu 10 kwa hao singleparent .mie nachekaga sana jamani...! Mtu hana msos siku 2 lakini huku anavyojimwaga sasa kuwachana single mom! Jion anaomba kwa hao hao single mom...uehehehee
Ahahaj umenikumbusha mbali Sana unamnanga mtu afu jioni unamuombe hela
 
Umeongea vizuri mkuu. Nadhani tujaribu kupunguza ujuaji mwingi na tumuache msimuliaji asimulie alichokiona.
 
Unakaa pia hapa bila ramani halafu mwisho wake??? Si bora uende sehemu mpya bila ramani kuliko kuzeekea ulipo bila ramani?
Isiwe shida tafuta nchi tunzoweza kwenda kama ilivyo south africa, bila visa and then unaendelea kujilipulia nje kwa nje...sio unajilipua upo jf. Sometimes unakuwa smart. Kama huyu ndg anavyeti vyake anaweza anapata kibarua anafanya akasomasoma aka volunteer volunteer kama church huko mara unaenda roma italy...oooh tusibakie jf tukilalama.

Tatizo alivyoanza ngono lol niksi
 
Kama nakuona vile aisee wanawake wa South wanawivu sana anaweza kukuua kabsa usiombe ikukute wenyewe hawepend mapenz ya janja janja
 

Naona umeweka vidole kama vya kigogo huko jamhuri ya twitter [emoji851][emoji851]
 
Konda acha kumkoroga jamaa alete story.

Tena story yako ilikuwa na utata kabisa maana ulituletea kumbu fake
 
Umeongea vizuri mkuu. Nadhani tujaribu kupunguza ujuaji mwingi na tumuache msimuliaji asimulie alichokiona.
Wajuaji ndo hu discourage tellers wengi kuendelea na story wanaishiaga njiani tu make kila mtu anajifanya anajua utafikiri walikua nae, Mtu anataka msimuliaji asimulie mpaka chooni alikua anaenda mara ngapi, saa ngapi kwa siku na aina ya rangi ya kinyc alichokua anatoa [emoji23]


Tupunguzeni ujuaji wakuu..
 
Ndio advantahe yao akishaanza kutpa doggy style zq kitanga uko majuu wazungu wanapagawa na nilichp gundua mademu wa bongo wazur sn kwa shape hata sura wazungu bado sn wenyewe wanaota english figure sisi huku midambwandq kwendq mbele
Jamaa wamezoea flat screen mara anakutana na mtako wa haja...chezea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…