jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 4,888
- 6,459
Siyo michepuko tu ata wapenzi wetu nao wanataka wahudumiwe kama mke wa ndoa.Mchepuko una mahitaji km umeolewa vile...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo michepuko tu ata wapenzi wetu nao wanataka wahudumiwe kama mke wa ndoa.Mchepuko una mahitaji km umeolewa vile...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Malaya wa AndroidHao ndio malaya smart tumawaita.sio kama wale wanaojipanga barabarani
, Baki njia kuuKuna siku nilileta uzi humu, kuhusu mchepuko mpya niliyekutana naye, na akaniomba nimuongezee mtaji ili aweze kujiajiri.
Kutokana na mtaji alio uomba ulikuwa mkubwa kiasi fulani; sikuwa mwepesi kutimiza mpaka pale baadhi ya vitu niweze kujiridhisha.