Nilivyonunua chainizi zenye harufu ya dawa

Si lazima niwe na njia moja ya kufikisha ujumbe, ujumbe huwafikia watu kwa njia mbalimbali

But ukitumia mifano ujumbe unafika na kueleweka zaidi

Mkuu usiwe too rigid pls
Unaweza fikisha ujumbe Bila ya kupotosha Na kuleta taharuki kwa jamii nadhani unatakiwa ubaki huko kwenye organic farming hiki unachotaka tubishanie apa hakina maana kabisa waweza chukua ushauri au ukauacha chief
 
Hivi wakuu mboga zinazolimwa bonde LA msimbazi au pale Serengeti police cha ngombe unalizalaje kwa mfano? Sili mboga Hotel
 
Kansa ya utumbo na Tumbo haziwaach watu salama kwa Mtindo wa kula madawa/chemicals
 
Unaweza fikisha ujumbe Bila ya kupotosha Na kuleta taharuki kwa jamii nadhani unatakiwa ubaki huko kwenye organic farming hiki unachotaka tubishanie apa hakina maana kabisa waweza chukua ushauri au ukauacha chief
Hahaha haya ni wamazo yako tu mkuu

Na hapa duniani uwezi kukubaliana na kila kitu ila mimi nilichoandika sijatunga ni ukweli kabisa.
Na kwa nini nitunge story ili iweje???

So, nimetumia real situation nilokutana nayo na ukanisaidia pia kuendelea kupiga vita hizi chemical sasa kama unaona naleta taharuki acha kama ilivyo.
 
Haha yeh men ,ukienda sokoni usinunue au mboga Lima mwenyewe ,kama dar hata nikiingia kwa hotel siagizi kuwekewa mboga ya majani kwasababu dar wanamwagilia maji ya makaro maji machafu au wanatumia dawa sana.
Dah, hongera pia unaepuka mengi mkuu
 
Sawa chief hata mimi si support matumizi ya hizi chemical kabisa tatizo kubwa ni jamii yetu watu sio waaminifu wanaangalia sana fedha kuliko Utu wa watanzania wenzao hii ni changamoto kubwa sana kwa Sasa labda wataalamu mtuelimishi ili tuanze panda mboga majumbani kwetu maana hakuna wakumuamini kwa sasa
 
Hapa sasa umenena na tutaenda sawia kabisa

Ushuhuda nilioutoa ni wa ukweli kabisa, watu wengi hawana elimu juu ya madhara ya chemical, na hata wenye uelewa kidogo wamekosa kabisa utu

Jamani hamjaona nyanya sokoni zina mabaka mabaka kabisa ya dawa na zipo sokoni na baadhi ya walaji bado tunanunua tu bila shida???

Kuna haja kubwa sana ya sisi kurudi kwenye kilimo hai, mbali na magonjwa tu hata ardhi nayo tunakuwa tumeilinda maana hizi dawa na mbolea haziishii tu kuleta madhara ya kiafya zinapiromosha pia rutuba ya udongo pamoja na uchafuzi wa mazingira mfano hewa na maji
 
Si lazima niwe na njia moja ya kufikisha ujumbe, ujumbe huwafikia watu kwa njia mbalimbali

But ukitumia mifano ujumbe unafika na kueleweka zaidi

Mkuu usiwe too rigid pls
 
Kwa jiji la Dar es salaam kuna wakulima wanalima mbogamboga kandokando ya bonde msimbazi aysee mamlaka husika wafatilie na hatua stahiki zichukuliwe maana wanalisha watu sumu kila kukicha kwa ufupi tu maji ya bonde msimbazi sio salama kwa uzalishaji wa mbogamboga kuna uchafuzi mkubwa wa maji katika eneo la mto kuna taka sumu kutoka kwenye gereji na maji taka toka vyooni huelekezwa katika bonde hilo
 
Mwisho wa siku maradhi yote hayo hupelekea kifo.

Tusiogope kufa hatutaishi milele mkuu.
Ni kweli kifo hakikwepeki lakini kuna maumivu na mateso ndio twatakiwa kutumia akili hekima na busara kuyapunguza, na njia mojawapo ni hiyo ya kuepuka kila hatari inayoonekana mbele yako, na mojawapo ya hatari hizo ni kubugia kemikali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…