okyo
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 2,003
- 1,507
Unaweza fikisha ujumbe Bila ya kupotosha Na kuleta taharuki kwa jamii nadhani unatakiwa ubaki huko kwenye organic farming hiki unachotaka tubishanie apa hakina maana kabisa waweza chukua ushauri au ukauacha chiefSi lazima niwe na njia moja ya kufikisha ujumbe, ujumbe huwafikia watu kwa njia mbalimbali
But ukitumia mifano ujumbe unafika na kueleweka zaidi
Mkuu usiwe too rigid pls