Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Kweli ulipambana. Kila mtu na njia yake ya kupambania maisha
 
Wanaume kazini..

#MaendeleoHayanaChama
 
Nitarudi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Namba mbili umeharibu, so bodaboda hapaswi kuwa akili. Kuna watu wana masters wanapiga hizo mishe sembuse form6 failure???
Masters anaepiga mishe ya ubodaboda ni MJINGA kabisa.

KWANINI?

Yani umemaliza digrii ya kwanza uakawa jobless (maana unapoamua kuwa bodaboda obvious wewe ni jobless), halafu kwa kuonyesha kabisa hazikutoshi unaamua kuongeza elimu kwa lengo la kuwa BODABODA, hivi inaingia akilini kweli?[emoji23]

Wasomi wengi ni bodaboda ila sio masters holders, labda tusemee hao wenye digrii moja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: ARV
Duh... Yaani mtu anayeamua kuendesha Bodaboda yeye ni Jobless? Kwahiyo ile Bodaboda sio JOB?

Na Kwa msingi huo tuseme nyinyi wasomi elimu yenu haijawasaidia nyinyi na Taifa Kwa ujumla maana mmeshindwa kutatua tatizo la ajira kabisa maana boda boda ni wengi kuliko nyinyi waajiliwa!
 
imefungwa

Part hii imeniumiza Sana dah
 
Nimepita Hapa NYASURA, alikoshukia [mention]UMUGHAKA [/mention] wakati akielekea Mgodini alikoenda kumuona Mtatiro
 
Mwamba kalazimisha kuimaliza story mapema kuna matukio ameyaruka kwa makusudi Ila siyo kwa kupenda.
Ila ni kwa sisi tuliosomea Cuba tumesanuka.
Umegundua kama Mimi. Kwa kweli aanzishe Whatsapp group atupie huko.

Jf Ina maibilis na mapoyoyo wengi. Yaani MTU anamapenzi ya kuwapostia mna mzingua. Masenge majitu tunaita ma monster 👹

Hii story niliona inakwenda mpaka mtatiro alivyoaga dunia.

Umughaka alivyoamua kuwa boda hapo kati mengi ameyaacha
 
Nilichojifunza!
1. Usifanye dili haramu na mwanamke hususani mpenzi
2. Rafiki anamuchango mkubwa kukutengeneza au kukuharibu tabia
3. Hakuna aliyemkamirifu ( mapongo walimwibia OMUGHAKA Pesa zake) na Bosi zao mapongo WALIWAACHIA kwa Kupokea RUSHWA ...
4. Kumfukuza mtoto nyumbani nikutaka kumpoteza! Omghaka ni mwanaume vipi kwa dadazetu si angekuwa KAHABA!
5. Elimu ya secondary kwa mtoto ni chimbuko la kuinuka au kuanguka kimaadili
6. Tamaa mbele mauti nyuma
7. Maisha ni vita
8. Pesa nyingi zinatokana na dili haramu, Rushwa, TOZO, magendo na sadaka feki Zilizo pambwa majina mazuri kuhalalisha! Lakini msingi wake mkubwa ni HARAMU
 
Pole kiongozi.... ila kwanin umemuacha huyo jamaa aliekudhulum?
 
Dah! Nimesoma hii habari kama vile naangalia movie. Jamaa Mungu akupe maisha marefu,sawa umeumiza watu kwenye hiyo background yako na wenzako lakini nimekuelewa,hii nayo ni side B ya maisha yako.

Ni hustler haswa, rafiki yako Mtatiro dah! Ameniuma naye aisee. Sema alikuwa rafiki wa kweli aisee. Hii story nimejifunza mengi haswa.
Haya maisha ukitoboa kw shortcut basi ujue umebarikiwa,shortcut is such a long cut then.

Wewe hata mtu akija akaseme umfundishe maisha atatoboa maana ugumu wote wa life umeupitia haswa
 
Unalazimisha ionekane kama nimewadharau ila msingi wa hoja yangu ni kwamba, HAKUNA BODABODA mwenye masters.

Ikiwa kwa degree moja mtu kakosa shughuli nyingine (akawa jobless) mpaka kaamua kujikita kwenye bodaboda (ambayo kimsingi sijaidharau), hiyo degree ya pili (Masters) ataenda kuitafuta ili iweje? Unless awe ni mtu asiyejitambua.

HIYO NDIO ILIKUWA HOJA YANGU, hakuna bodaboda mwenye MASTERS.
 
Aiseee.
 
Mkurya kama mkurya.

#MaendeleoHayanaChama
 
Moja ya kitu watu wengi hasa wenye viburi vya kitaluuma za kukariri wajifunze kwa Dogo Umughaka hana degree kama wao ila alisoma fasihi andishi akaelewa Na akiamua kutumia kalamu kuwa tajiri anaweza, ukiacha usimuliaji ni mwandishi mzuri sana .
Mkuu,unamfahamu huyu UMUGHAKA ? Ni kweli ni "Dogo" kwako? Ni kweli hana "Degree"?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…