Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Yaani hapa mwisho unapoelezea kuwa ulikuwa ukikimbia na huku mapigo yangu ya moyo yalikuwa yakienda kasi. Kiongozi unajua kuandika. Hongera sana
 
Baada ya wiki Mungu akijaalia ntakuja kuisoma tena..i hope itakuwa imesogea sogea.

Nakumbuka niliwahi kusoma kitabu cha story za shigongo chenye page kama 500 na ushee kwa muda wa siku mbili tu. Au ww umughaka ni shigongo uliyejificha ktk fake id??
 
Yani mtuhumiwa yupo mikononi mwa polisi na bado anachatiii....hiiii bangosha nehene loloo
 
Wakati mansubiria mwendelezo pitieni hapa kwa mzee wa JF. Simulizi yake inasisimua kwelikweli
 

Safi sana itasonga leo ama kesho?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…