September nilikuwa huko, ilikuwa mara ya kwanza kufika Musoma, Kijiji Cha Mugango, mazingira yake niliyapenda Sana, ipo siku nitarudi paleWeeeee kuna mjini kabisa na vijijin
Acha hzo babu msoma au mkoa wa Mara Ni mkoa. na musoma ,tarime,bunda ,sirari Ni miji mikubwa Sana na Ina wasomi wengi mno ndani na nnje ya nchi.Binafsi Kwenye fikra zangu hua nahisi Mara/Musoma ni mapori tu na vijiji hakuna mjini.
Siku moja Inabidi nifike huko mura
Jamaa wa kule wanasema ni wakorofi, ila ukweli ni wakarimu sana,ukorofi wao mpaka uwachokoze.Acha hzo babu msoma au mkoa wa Mara Ni mkoa. na musoma ,tarime,bunda ,sirari Ni miji mikubwa Sana na Ina wasomi wengi mno ndani na nnje ya nchi .Bab wa taifa letu mwenyewe katokea uko Musoma kabila la wazanaki kabila ndogo Sana ila kwa ujumla mkoa wa Mara Ina vipanga Sana Seema nn Bab wa taifa hajaipendelea Na kuipa umuhimu Kama ilivyo pewa chato umuhimu mkubwa kipindi Cha jiwe . Aise watu wa musoma c wakuwachukuliaa poa mkuu
Umeona eeh.Jamaa wa kule wanasema ni wakorofi, ila ukweli ni wakarimu sana,ukorofi wao mpaka uwachokoze.
Yaani wewe Mzee wa Moghabiri kijiji cha ujamaa! umenikuna sana tena sana!....ndo pamenikuza huko ila rafiki zangu kina, Mwita wembe, Kasisi Mang'weina,
Wambura chacha (huyu Baba ake alikuwa Bwana shamba)......lile shamba li kijiji NKongore nimelima sana kwa ushirika lile!! Bado lipo kweli?? na trekta la kijiji mliuza siyo!!.....
Rafiki zangu wazee kina Marwa winani, na wadogo zake kina Gesase wapo!....Mwalimu Werema yaani sijui tu natamani sana nifanye ziara huko nikale Ilityambwe.......Ighichure..... .uliwahi ''kubhusugurya kweli mkuu?? au.......
Jamani Tarime raha hadi kichwa kinauma....ngoja kwanzaa..........Mzee Juhudi na Maarifa babake kina Nesi Nyaikoba wanaishi palee juu kuelekea kirighiri! daaa tarime weeee!
Ebu Kibumaye shule ya Msingi Box 172, bado ipo kweli?? daaaa!
We utakuwa pongo! [emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu naomba hilo bunda la Hela lililobaki nipige kazii
Kamji flani kamekaa kiaina sana DinaWeeeee kuna mjini kabisa na vijijin
We waza tu mtu mkubwa....kuwaza ruksaNimewaza kitu😂😂😂
Hicho kimoja unachotaka cha kulalia.We waza tu mtu mkubwa....kuwaza ruksa
Niibie kidogo nn umewaza tajrii?