Yaani wewe Mzee wa Moghabiri kijiji cha ujamaa! umenikuna sana tena sana!....ndo pamenikuza huko ila rafiki zangu kina, Mwita wembe, Kasisi Mang'weina,
Wambura chacha (huyu Baba ake alikuwa Bwana shamba)......lile shamba li kijiji NKongore nimelima sana kwa ushirika lile!! Bado lipo kweli?? na trekta la kijiji mliuza siyo!!.....
Rafiki zangu wazee kina Marwa winani, na wadogo zake kina Gesase wapo!....Mwalimu Werema yaani sijui tu natamani sana nifanye ziara huko nikale Ilityambwe.......Ighichure..... .uliwahi ''kubhusugurya kweli mkuu?? au.......
Jamani Tarime raha hadi kichwa kinauma....ngoja kwanzaa..........Mzee Juhudi na Maarifa babake kina Nesi Nyaikoba wanaishi palee juu kuelekea kirighiri! daaa tarime weeee!
Ebu Kibumaye shule ya Msingi Box 172, bado ipo kweli?? daaaa!