Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Hahaha me pia nimesoma Kibumaye shule ya msingi pale mwl tata bhokano [emoji23][emoji23][emoji23]
Tuliishi opposite na kwa Juhudi
Daaa! basi wewe utakuwa tunajuana sema tu mlikuwa bado wadogo wadogo sana nyie! hapo kwa juhudi nilikuwa napita kila siku kwenda kirigiri Chekechea zamani zile, kindergarten ilikuwa palee RC, Opposite na kwa chacha Masero!

Vijana wa juhudi wale wadogo nimesoma nao, lkn kuna mwingine hapo hapo!Mwita Matinyi pst huyu ndo jilani na juhudi bial maarifa ! then karibu na kwa juhudi pia kuna Mwalimu Ghikaro!

daa! jamaa big up sana yule! alitupigisha chipukizi huyu bwana hatare nilisoma na mwanae mmoja hivi ni Daktari palee Kampala Univ.!

Kibumaye shule yangu bana nsito isahau ile! daa! niwe na hela nisiwe nazo Lazima nikatoe Donation one day nitafanya ukarabati si wa kawaida na madawati mapyaa mazuri, vitabu nk, km waalimu wangu wako hai napiga donee mwana!

Hasa kuna, Mwl mmoja alikuwa anaitwa Shadrack Gimakwi, Rebecca Marwa, daa mwanangu km hawa hawajafa lazima nitoe ng'ombe kumi! kumi! bila hawa nisingekuwepo hapa!..asa fanya! fanya one day twende Mkuu!

Rafiki zangu wengi sana kule nikifikaga palee Tarime mjini wala siaptagi taabu! wakiniona tu....haoooo! tata nyarusare! yeke muraaa! agha taisalama muyoo?..lkn sipandishagi bana ajili ya muda!
 
Wewe unashangaà hilo tu, je hilo la kuweka maburungutu ya hela feki chumbani unapolala..!
Hamna mhalifu professional anafanya huu ujinga
 
Wewe unashangaà hilo tu, je hilo la kuweka maburungutu ya hela feki chumbani unapolala..!
Hamna mhalifu professional anafanya huu ujinga
Ila kibongo bongo sishangai maaana huku wengi wamekimbia umande so wanafanya uhalifu kiholela mwisho wa siku wanafanikiwa mission ila baada ya siku moja wote wanakuwa wamekamatwa na polisi
 
Ugali kama huu?
 
Wewe unashangaà hilo tu, je hilo la kuweka maburungutu ya hela feki chumbani unapolala..!
Hamna mhalifu professional anafanya huu ujinga

Wahalifu wa kiafrika anaua anatupa line ya voda, anasajili airtel kwa kitambulisho chake halisi, halafu anatumia simu ileile aliyofanyia uhalifu, au anafanya uhalifu sehemu anajulikana kama john anakimbia na kule alikokimbilia anajitambulisha kama john.

Au anajua kabisa ana vitu haramu halafu anaviweka karibu yaani ndani anapolala au polisi wanatumia honeytape anapigiwa simu na mwanamke hadi anashawishiwa aende sehemu waonane nae anaenda kama kuku, au anajua ana majanga anatembea hovyo kama kuku wa kienyeji au anapigiwa simu anaulizwa uko wapi namba ngeni anataja sehemu halisi alipo kabisa au dili haramu anapangia kwenye simu wakati simu inatakiwa kutumika kuonana tu dili inapangwa face to face tena kwa codes maalumu.

Au mtu anafanya uhalifu eti anaenda kuvuka border kwa kutumia passport yake halali inayotambulika kabisa kuna vituko ambavyo ushahidi wahalifu wanauacha wanadakwa kizembe sana
 
Hilo jina la Nyarusare umelichukua kutoka kwa yule Mzee Nyarusare msanii alikuwa mwana-ccm kindakindaki na anapiga sana zeze? Nakumbuka kuna sikukuu moja ya May Mosi alipiga wimbo unaitwa kazi ni kazi. Pamoja na kwamba nilikuwa mdogo lakini mpaka sasa kumbukumbu ipo
 
Nadhani yule dingi alikuwa akiitwa Nyarusahi, alituburudisha sana enzi hizo hasa kukiwa na sikukuu za kitaifa pale ulipokuwa uwanja wa sabasaba

Hii nyarusare nahisi inasadifu kitu kingine ila ngoja ninyamaze
 
Duuh mkuu umughaka ubarikiwe, Kuna baadhi ya maneno yamekopwa kwenye kabila la kipogoro mfano neno waukaye ni neno la kipogoro likomaanisha mtu wa nyumbani au wa Kijiji au mji mmoJa, neno lingine ni longa mpaka kukuche maana ya longa ni ongea, mi mpogoro wa itete kishenzi na nimefurahi maneno ya kipogoro yanatumika japo kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…