Ms Billionaire
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 2,452
- 4,955
Tatizo mnataka tuwaone mnajua sana uchambuzi.! Ngoja tukuletee kitabu cha shigongo umchambue hadi kunakucha. Soma story enjoy, refresh funga simu pumzika. Kha.!Vitu viwili vya kufikirisha;
1. Siku zote nimekaa pale Sorari sikuwa na demu wala sikuwahi kwenda kulala na demu guest na pale nilopopanga sikuwahi kuleta demu. Inawezekanaje mwanaume kukaa muda wote huo bila kupiga demu?
2. Mwanangu Nyamori aliniambia nishuke hapo Bunda kuna kijiji kuna mgodi unatema sana madini, baada ya kufika huyo huyo Nyamori anamuambia hapa hakuna kitu tunapoteza tu muda.
Huwezi kuelewa kama hujui story za wana appoloVitu viwili vya kufikirisha;
1. Siku zote nimekaa pale Sorari sikuwa na demu wala sikuwahi kwenda kulala na demu guest na pale nilopopanga sikuwahi kuleta demu. Inawezekanaje mwanaume kukaa muda wote huo bila kupiga demu?
2. Mwanangu Nyamori aliniambia nishuke hapo Bunda kuna kijiji kuna mgodi unatema sana madini, baada ya kufika huyo huyo Nyamori anamuambia hapa hakuna kitu tunapoteza tu muda.
Tatizo mnataka tuwaone mnajua sana uchambuzi.! Ngoja tukuletee kitabu cha shigongo umchambue hadi kunakucha. Soma story enjoy, refresh funga simu pumzika. Kha.!
We nae kwani kupiga demu lazima.!?Vitu viwili vya kufikirisha;
1. Siku zote nimekaa pale Sorari sikuwa na demu wala sikuwahi kwenda kulala na demu guest na pale nilopopanga sikuwahi kuleta demu. Inawezekanaje mwanaume kukaa muda wote huo bila kupiga demu?
2. Mwanangu Nyamori aliniambia nishuke hapo Bunda kuna kijiji kuna mgodi unatema sana madini, baada ya kufika huyo huyo Nyamori anamuambia hapa hakuna kitu tunapoteza tu muda.
Ni mtatiro c nyamoriVitu viwili vya kufikirisha;
1. Siku zote nimekaa pale Sorari sikuwa na demu wala sikuwahi kwenda kulala na demu guest na pale nilopopanga sikuwahi kuleta demu. Inawezekanaje mwanaume kukaa muda wote huo bila kupiga demu?
2. Mwanangu Nyamori aliniambia nishuke hapo Bunda kuna kijiji kuna mgodi unatema sana madini, baada ya kufika huyo huyo Nyamori anamuambia hapa hakuna kitu tunapoteza tu muda.
Hajielewi,vingine unasoma tu nakukaushaWe nae kwani kupiga demu lazima.!?
Sawa kaka tumekuelewa,ANGALIZO
Episode kadhaa zinazofuata zinaukakasi,uenda zikakuudhi na zikakukera!.
Naomba mniwie radhi maana hapa nasema kile nilichokipitia na huko nilishaacha muda mrefu,mimi kwasasa ni raia mwema kama mlivyo nyie,hivyo msinihukumu kwa yaliyopita!.
Nia na madhumuni ni kujifunza na kuwatahadharisha vijana wenzangu kuachana na maisha ya starehe ya muda mfupi.
Nawapenda sana.
Gari tinted then mishe ngumu, cpandiYani gari alilopanda leo limenishitua sana sana
Bila shaka mkuu we endelea kutiririsha maneno, mwenye kukereka majukwaa ni mengi akazubae hukoANGALIZO
Episode kadhaa zinazofuata zinaukakasi,uenda zikakuudhi na zikakukera!.
Naomba mniwie radhi maana hapa nasema kile nilichokipitia na huko nilishaacha muda mrefu,mimi kwasasa ni raia mwema kama mlivyo nyie,hivyo msinihukumu kwa yaliyopita!.
Nia na madhumuni ni kujifunza na kuwatahadharisha vijana wenzangu kuachana na maisha ya starehe ya muda mfupi.
Nawapenda sana.
Jibu hoja ,acha kujipendekeza.Hadithi kwako imeisha kwani au ndo ule ujuaji?
We utakuwa mpuuzi Sana,jibu nilichouliza.Kwhyo we unajua mwisho wa hii story ukoje!?hv mijitu km nyie bdo ipo!?
Hivi nyie mlienda shule kweli? Kama mlienda basi ,mlienda kusimea ujinga.Badala ya kujibu swali mnaleta conclusion za kuudhi.Kama una hoja dhidi yangu jibu swali kwa hoja.Acha kufuatilia stori basi. We achana nayo