Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Vitu viwili vya kufikirisha;
1. Siku zote nimekaa pale Sorari sikuwa na demu wala sikuwahi kwenda kulala na demu guest na pale nilopopanga sikuwahi kuleta demu. Inawezekanaje mwanaume kukaa muda wote huo bila kupiga demu?

2. Mwanangu Nyamori aliniambia nishuke hapo Bunda kuna kijiji kuna mgodi unatema sana madini, baada ya kufika huyo huyo Nyamori anamuambia hapa hakuna kitu tunapoteza tu muda.
Tatizo mnataka tuwaone mnajua sana uchambuzi.! Ngoja tukuletee kitabu cha shigongo umchambue hadi kunakucha. Soma story enjoy, refresh funga simu pumzika. Kha.!
 
Vitu viwili vya kufikirisha;
1. Siku zote nimekaa pale Sorari sikuwa na demu wala sikuwahi kwenda kulala na demu guest na pale nilopopanga sikuwahi kuleta demu. Inawezekanaje mwanaume kukaa muda wote huo bila kupiga demu?

2. Mwanangu Nyamori aliniambia nishuke hapo Bunda kuna kijiji kuna mgodi unatema sana madini, baada ya kufika huyo huyo Nyamori anamuambia hapa hakuna kitu tunapoteza tu muda.
Huwezi kuelewa kama hujui story za wana appolo
 
Vitu viwili vya kufikirisha;
1. Siku zote nimekaa pale Sorari sikuwa na demu wala sikuwahi kwenda kulala na demu guest na pale nilopopanga sikuwahi kuleta demu. Inawezekanaje mwanaume kukaa muda wote huo bila kupiga demu?

2. Mwanangu Nyamori aliniambia nishuke hapo Bunda kuna kijiji kuna mgodi unatema sana madini, baada ya kufika huyo huyo Nyamori anamuambia hapa hakuna kitu tunapoteza tu muda.
We nae kwani kupiga demu lazima.!?
 
Vitu viwili vya kufikirisha;
1. Siku zote nimekaa pale Sorari sikuwa na demu wala sikuwahi kwenda kulala na demu guest na pale nilopopanga sikuwahi kuleta demu. Inawezekanaje mwanaume kukaa muda wote huo bila kupiga demu?

2. Mwanangu Nyamori aliniambia nishuke hapo Bunda kuna kijiji kuna mgodi unatema sana madini, baada ya kufika huyo huyo Nyamori anamuambia hapa hakuna kitu tunapoteza tu muda.
Ni mtatiro c nyamori
 
Vile UMUGHAKA anataka kujinusuru kutoka kwenye gari ya Mapongo.
images (6).jpeg
 
ANGALIZO


Episode kadhaa zinazofuata zinaukakasi,uenda zikakuudhi na zikakukera!.

Naomba mniwie radhi maana hapa nasema kile nilichokipitia na huko nilishaacha muda mrefu,mimi kwasasa ni raia mwema kama mlivyo nyie,hivyo msinihukumu kwa yaliyopita!.

Nia na madhumuni ni kujifunza na kuwatahadharisha vijana wenzangu kuachana na maisha ya starehe ya muda mfupi.

Nawapenda sana.
 
ANGALIZO


Episode kadhaa zinazofuata zinaukakasi,uenda zikakuudhi na zikakukera!.

Naomba mniwie radhi maana hapa nasema kile nilichokipitia na huko nilishaacha muda mrefu,mimi kwasasa ni raia mwema kama mlivyo nyie,hivyo msinihukumu kwa yaliyopita!.

Nia na madhumuni ni kujifunza na kuwatahadharisha vijana wenzangu kuachana na maisha ya starehe ya muda mfupi.

Nawapenda sana.
Sawa kaka tumekuelewa,


Lakini tunakuomba leo shusha episode hata tano hivi, ili tuenjoy zaidi hii jumapili

[emoji4]
 
ANGALIZO


Episode kadhaa zinazofuata zinaukakasi,uenda zikakuudhi na zikakukera!.

Naomba mniwie radhi maana hapa nasema kile nilichokipitia na huko nilishaacha muda mrefu,mimi kwasasa ni raia mwema kama mlivyo nyie,hivyo msinihukumu kwa yaliyopita!.

Nia na madhumuni ni kujifunza na kuwatahadharisha vijana wenzangu kuachana na maisha ya starehe ya muda mfupi.

Nawapenda sana.
Bila shaka mkuu we endelea kutiririsha maneno, mwenye kukereka majukwaa ni mengi akazubae huko
 
Back
Top Bottom