Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Just enjoy and move on brother,

HUJAMLIPA.
 
Kwani kuchambua Kuna shida gani? CCM imewaharibu Sana.
Akili za vijana wa tanzania mda wote wanawaza siasa. Tatizo ujuaji unawaponza. Mtu kaandika story yake napo unataka uje ujifanye makamo wake we ndo ulimzaa?

Sasa akudanganye kwenye hadithi ambayo haikuingizii hata mia seriously? Nyie kwenye chama chenu mmekaririshwa kubishana kwenye kila kitu? Kha
 
Kaka, siku hizi watu wengi hawapo timamu, wanatafuta ubishani kwenye kila jambo ili wajione wapo sawa... wapotezee
 
Nikimkumbuka Analyze,Elvis Musiba aka Willy Gamba Holy him na Sasa Umghaka napenda kusema,mkoa wa Mara una good story tellers.
 
Unaenda kucheka nao na zakichwa za kichwa
 
Kwa taarifa yako,kubishana ndiyo msingi wa maendeleo.Jamii isiyobishana ni jamii mfu,jamii ambayo haifikiri bali jamii ya ndiyo Mzee.
 
Wewe ni mmoja wa watu wachache sana wenye ustaarabu uliotukuka humu most of members humu Wana majibu ya kijinga sana
 

Ooooh my God UMUGHAKA sasa umeyakanyaga aiseee[emoji56][emoji56][emoji56][emoji56][emoji56][emoji56][emoji846]
 
Aisee huyu Mtatiro ni Tommy Higan kabisa! Yani hapo Umughaka umedandia mtubwi wa vibwengo aiseeee ...mtatiro bwege sana..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Weeee mm japo sipigi dili haram lkn akija boss na gari ya style hio ofisini sipand namwambia tangulia nakufata nyuma na pkpk
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…