😂ngoja wenye mavi yao wakuje tuoneUnajua Kuna ka ukweli kwamba, wanawake wenye mavi mengi kichwani hakuna kitu.
Naona ubongo nao unashuka kwenda kuongeza nguvu kwenye matako hivyo kuwacha kamasi na upepo huku juu.
Ila uongo mbaya. Niwatamu.
Hee kumbe hujui umaharufu wa umughaka hapa jf umetokana na simulizi yake ya kina mzee makonoNaomba unipe link ya huo wa mzee makono jamaa amenivutia kumsoma!
Nenda pm atakupatia ...ila ingekuwa Bora aweke hapaAtoe namba tumchangie pesa ya mafuta
chai ya bibi yako pika uji shetani mkuuChai.....
Chaichai ya bibi yako pika uji shetani mkuu
[emoji23][emoji23] pmj San mkuu nafurahi kukuona Happ kwa umughakaBarikiwa sana kwa kuniita
Tena jmaa zangu kbsa wa A Town kbsa ,burka estate :-[[emoji3]Barikiwa sana kwa kuniita
Acha ujingaa mkuu wale watu wa kule waache Kama walivyo tu na mapicha picha yao za kujisifia sifia na kupost picha zao kutafuta likes [emoji3][emoji3]Stories yako imenipatia wafuasi wengi sana pande za FB.
Yeleuwiiii.......yani we nae tunapishana pishana sana mkuu,chugani nitakuja December,lazima nikutafute burka estate,hapo Dom nimetoka Nina kama kamwezi flani HV mitaa yangu ilikuwa Emaus njia panda ya kwa Wazir mkuu,sio mbali sana na ulipo,.....ila kwa sasa hivi nimejichomeka ndichi kabisa Ruvuma huku,Tena jmaa zangu kbsa wa A Town kbsa ,burka estate :-[[emoji3]
Ila kwa Sasa nipo ilazo kisasa Dodoma .
Aaa mmash nawe unazunguka, nadhani mpaka huu mwaka unaisha utakuwa ushamaliza zaidi ya mikoa 5 kuizungukia. Hongera if that's making you better and fab for a livingYeleuwiiii.......yani we nae tunapishana pishana sana mkuu,chugani nitakuja December,lazima nikutafute burka estate,hapo Dom nimetoka Nina kama kamwezi flani HV mitaa yangu ilikuwa Emaus njia panda ya kwa Wazir mkuu,sio mbali sana na ulipo,.....ila kwa sasa hivi nimejichomeka ndichi kabisa Ruvuma huku,
Mkuu Lucha wapi nimechanganya R na L hebu niambie ili nijirekebishe Tata maana watu tuliokulia Mara ni ngumu kutenganisha L na R,mahali panapopaswa kutamkwa Lala sisi tunasema Rara!,hebu nionyeshe nilipokosea nirekebishe Mura!Unajitahidi kuandika lakini jitahidi usichanganye L na R inakua kama vire hujui kiswahiri umenikela sana