Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

Mkuu Lucha wapi nimechanganya R na L hebu niambie ili nijirekebishe Tata maana watu tuliokulia Mara ni ngumu kutenganisha L na R,mahali panapopaswa kutamkwa Lala sisi tunasema Rara!,hebu nionyeshe nilipokosea nirekebishe Mura!
Achana nae uyo mkuu
Yeye mwenyewe hajui kutofautisha L na R anaadika vire badala ya vile, umenikela badala ya umenikera.
 
Mkuu Lucha wapi nimechanganya R na L hebu niambie ili nijirekebishe Tata maana watu tuliokulia Mara ni ngumu kutenganisha L na R,mahali panapopaswa kutamkwa Lala sisi tunasema Rara!,hebu nionyeshe nilipokosea nirekebishe Mura!
Akifanikiwa kuonyesha naacha puri
 
Kbsa Mkuu Kuna members njemba sinanifata pm wakidhani mm Ni manzi wkt huyo manz Ni mtoto wa kiongozi mmoja hapa nchini ambaye Bab ake Ni rfk ya familia yangu.

Ni rfk angu na amenipa tunda lake zuri kimasiara bas nikaamua kumuenzi ila watu wananifata pm kunitongozo mm ,mm nawachora tu wengijuwa mm Ni njemba mmoja HV wengiingia mitini tu[emoji3]
Kwaiyo mwanangu hicho kichuguu ushakipapasa kikiwa hakina nguo?....watu mnafaidi kweli kweli kudaadeki😂
 
Life mkuu,sipendi ila I've no choice,....by the way.....thank you fyddell
Yeah We have to run to where the life gives us a flow. Dec nami nitakuwa Chuga for a Christmass eve, karibu Njiro maeneo ya bugaruu.
 
Yeah We have to run to where the life gives us a flow. Dec nami nitakuwa Chuga for a Christmass eve, karibu Njiro maeneo ya bugaruu.
Pamoja sana mkuu,nami nataraji Christmas au new year mojawapo inikutie huko nyumbani Mungu akipenda,tutataftana humu humu kama VP tupate japo mbuzi choma na ka TBL/SBL ila lazima tuwafute hawa watu goroko77 Glenn meza ipendeze
 
Back
Top Bottom