Sasa mbona wewe mwenyewe unachanganya hizo L na RUnajitahidi kuandika lakini jitahidi usichanganye L na R inakua kama vire hujui kiswahiri umenikela sana
Sio kiswahiri ni kiswahili alafu sio vire ni vile sasa unamkosoa mastermind umughaka wakati na wewe hujuiUnajitahidi kuandika lakini jitahidi usichanganye L na R inakua kama vire hujui kiswahiri umenikela sana
Achana nae uyo mkuuMkuu Lucha wapi nimechanganya R na L hebu niambie ili nijirekebishe Tata maana watu tuliokulia Mara ni ngumu kutenganisha L na R,mahali panapopaswa kutamkwa Lala sisi tunasema Rara!,hebu nionyeshe nilipokosea nirekebishe Mura!
Turia mdogo wangu we huwezi kunifundisha kiswahiri mimi utasubili sanaSasa mbona wewe mwenyewe unachanganya hizo L na R
Vire ndio nini
Umenikela ndio nini
Kwema mkubwa...habari yakoKwema boss kubwa?
Wapi nimechanganya L na R rabda macho yako hayaoni vizuli ira hujui kiswahiri utasubili sanaSio kiswahiri ni kiswahili alafu sio vire ni vile sasa unamkosoa mastermind umughaka wakati na wewe hujui
Poa sana mkuu,nilikuwa nakupigia msako kimya kimya kwenye ma comment hadi nimekupata,.....barida mkuu,tuko pa1Kwema mkubwa...habari yako
Daah mkuu huwezi kujua nilivyofurahi kumbe nami kuna mtu anaweza kunikumbuka?Poa sana mkuu,nilikuwa nakupigia msako kimya kimya kwenye ma comment hadi nimekupata,.....barida mkuu,tuko pa1
Yes tunakumbukana sana,ukiona mwamba humuoni unamtag anakuja chap,....pamoja sana manππDaah mkuu huwezi kujua nilivyofurahi kumbe nami kuna mtu anaweza kunikumbuka?
Pamoja sana kakaπππππ
Akifanikiwa kuonyesha naacha puriMkuu Lucha wapi nimechanganya R na L hebu niambie ili nijirekebishe Tata maana watu tuliokulia Mara ni ngumu kutenganisha L na R,mahali panapopaswa kutamkwa Lala sisi tunasema Rara!,hebu nionyeshe nilipokosea nirekebishe Mura!
Kwaiyo mwanangu hicho kichuguu ushakipapasa kikiwa hakina nguo?....watu mnafaidi kweli kweli kudaadekiπKbsa Mkuu Kuna members njemba sinanifata pm wakidhani mm Ni manzi wkt huyo manz Ni mtoto wa kiongozi mmoja hapa nchini ambaye Bab ake Ni rfk ya familia yangu.
Ni rfk angu na amenipa tunda lake zuri kimasiara bas nikaamua kumuenzi ila watu wananifata pm kunitongozo mm ,mm nawachora tu wengijuwa mm Ni njemba mmoja HV wengiingia mitini tu[emoji3]
Pamoja sana mkuu,nami nataraji Christmas au new year mojawapo inikutie huko nyumbani Mungu akipenda,tutataftana humu humu kama VP tupate japo mbuzi choma na ka TBL/SBL ila lazima tuwafute hawa watu goroko77 Glenn meza ipendezeYeah We have to run to where the life gives us a flow. Dec nami nitakuwa Chuga for a Christmass eve, karibu Njiro maeneo ya bugaruu.
Mademu wadangaji hua mnaonekana kirahisi sana.hebu jikaze kdgo bs bintu yangu..Jibu hoja ,acha kujipendekeza.
Tumia akili kufikiri...usitumie makalioWe utakuwa mpuuzi Sana,jibu nilichouliza.